Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna kipindi flani katika huu Uzi jamaa yetu Tony254 alisema Tanzania ndio yenye brt kubwa Africa nzima, nilipompinga kwa facts kwamba kuna nchi zenye brt kwa Miji zaidi ya minne kama south Africa, jamaa alinirushia matusi unprovoked, hapo ndo nikajua mwanangu anatafuta sympathy kutoka kwa watanzania. Isitoshe mkuu akasema atamwaga uchafu wa Kenya hapa ndani, nilicheka sana.
Anasema ni marafiki zake so tukubali watuharie tu midomoni.🤣🤣
 
Nilikwambia Tony254 hawa wanakuchukia sn vile hauko biased, umeona ss amekutusi live wala hajapepesa macho, alitaka na wewe uwe na blind patriotism yn usisifie kitu ambacho Kenya inawish kuwa nacho ambacho Tz kipo.

Wanataka useme SGR ya Kenya ni better kuliko SGR ya Tz.

Wanataka useme public transport ya Kenya ni better kuliko ya Tz.

Wanataka useme Kenya iko juu ya Tz kwenye madaraja.

Wanataka useme Kenya kuna access to clean water kubwa kuliko Tz.

Wanataka useme Kenya inailisha Tz.

Wanataka useme inflation rate ya Kenya ipo chini kuliko ya Tz.

Wanataka useme Kenya kuna Amani kuliko Tz.

Wanataka useme Kenya kuna viwanja vingi vya ndege kuliko Tz.

Wanataka useme hakuna highway Tz.

Wanataka ukatae kwamba Tz ya sasa imeamka na ni untouchable.

Wanataka useme Dar port co most efficient kwa sasa in the region licha ya reputable bodies ku claim hivyo.

Yani hawa jamaa zako hawataki uwe free, roho inawauma wanapoona Watz tunakupa credit ya the one and only wise Kenyan in this forum. Wajinga sana hawa watu, wana akili za Wakenya wa zamani sn.
Sio kwamba I am the wisest Kenyan hapa. Kuna Wakenya na Watanzania wengi hapa ambao ni werevu kunishinda. Mimi sio mwerevu sana. Mimi ni mtu wa kawaida tu kama wewe. Tatizo ni kwamba anataka kunipimia hewa. Yeye ndiye anataka kuniambia nitasema nini hapa na sitasema nini? Eti mimi nimekuwa pathetic kwa sababu hapendi jinsi ninavyo-interact na Watanzania humu. Approach yake ni ya kimabavu. Approach yake ni ya kutusi watu, kudharau watu, kudhalilisha watu. Mimi sina hio roho mbaya. Mimi huwa nashindwa kubeba chuki moyoni kama yeye anavyobeba chuki moyoni.

Yeye anawachukia Watanzania kiukweli. Hajui hapa tupo battle, yaani tupo hapa kujifurahisha. Mtu unapiga kazi, ukipata dakika tano unaingia JF kidogo kisha unaendelea na kazi yako. Yeye hanilipii chakula wala hanilipii bill ya umeme au maji sasa ataniambiaje cha kusema huku? Eti hapendi jinsi ninavyotangamana na Watanzania, yaani anataka niwe natukana na kudharau Watanzania ili kuonyesha kwamba mimi ni Mkenya?

Mimi nipo hapa kivyangu na wala sipo hapa kufurahisha mtu yeyote. Kama hapendi basi too bad for him kwa sababu hakuna chochote anachoweza kunifanyia. Hata hanijui na anakasirishwa na mtu asiyemjua? Mtu unayekutana naye mtandaoni unamchukia ili iweje?
 
Hawa jamaa ni kama hawaoni divergent views kati yangu na Simon !
Wewe kuna wakati umepigwa vita humu na Watanzania wenzako Kisha kuwapangia Chenye watasema. Kuna Mtanzania humu msema kweli kabisa jina Walker255 , mmempiga vita Hadi haonekani kisa anapost ukweli na sio picha za Kibera kama mnavyotaka. Leo hii utuhubirie kuhusu kupangiana cha kusema?
 
Kirumba hakuna timu ya ligi kuu unakarabatiwa iweje acheni usukumagang😝😝
Hapa Ngosha unatafuta attention pitia argument yangu! Kirumba ulivyo can easily be modernised to 40,000 or 60,000 seats stadium! Uwanja ule unatosha hamuhitaji mpya, mpira wenyewe hamjui!
 
Hawa jamaa ni kama hawaoni divergent views kati yangu na Simon !
SSC ya Kenya na hata twitter ya Kenya kuna divergent views na Wakenya wanaheshimu divergent views huko. Kisiasa tuna divergent views whether mtu anasupport chama cha UDA au Azimio halina tatizo, Wakenya wanaheshimu mawazo tofauti. Sasa hii ujinga anajaribu kuniletea hapa JF ndio sielewi.
 
Tatizo lenu nyinyi hamna akili mnakubali mtu mmoja awapangie cha kuongea kisa mnamuogopa, inakuwaje mtu unajiita msomi alafu mjinga mmoja ana control akili yako? Yani mtu huwezi kukutana naye na unamuogopa, unashindwa kukosoa upuuzi unaofanyika nchini kwako kisa kuna mtu unamuogopa. Sasa upumbavu huo ndiyo hautaki bwana Tony, keshawahi kukwaruzana na mkunya mwingine ukiacha huyo mpumbavu na mkwaruzano ulikuwa ni kwasababu hiyo hiyo ya kumtaka bwana Tony aongee vitu ambavyo Wakenya wanataka kusikia.

Usiwe mjinga na usikubali mpumbavu mmoja a control akili yako wkt tabu zako unapambana nazo mwenyewe. Kupitia hizi forums ndipo serikali inapata kujua wananchi wanataka nn, sasa unaficha ficha ukweli ili uonekane upo vizuri kwa faida ya nani? Punguza upumbavu be independent.
Hivi nikuulize, mtu akikwambia Tanzania ndio nchi yenye brt kubwa Africa nzima, wewe kama muungwana utamjibuje?
 
Nilikwambia Tony254 hawa wanakuchukia sn vile hauko biased, umeona ss amekutusi live wala hajapepesa macho, alitaka na wewe uwe na blind patriotism yn usisifie kitu ambacho Kenya inawish kuwa nacho ambacho Tz kipo.

Wanataka useme SGR ya Kenya ni better kuliko SGR ya Tz.

Wanataka useme public transport ya Kenya ni better kuliko ya Tz.

Wanataka useme Kenya iko juu ya Tz kwenye madaraja.

Wanataka useme Kenya kuna access to clean water kubwa kuliko Tz.

Wanataka useme Kenya inailisha Tz.

Wanataka useme inflation rate ya Kenya ipo chini kuliko ya Tz.

Wanataka useme Kenya kuna Amani kuliko Tz.

Wanataka useme Kenya kuna viwanja vingi vya ndege kuliko Tz.

Wanataka useme hakuna highway Tz.

Wanataka ukatae kwamba Tz ya sasa imeamka na ni untouchable.

Wanataka useme Dar port co most efficient kwa sasa in the region licha ya reputable bodies ku claim hivyo.

Yani hawa jamaa zako hawataki uwe free, roho inawauma wanapoona Watz tunakupa credit ya the one and only wise Kenyan in this forum. Wajinga sana hawa watu, wana akili za Wakenya wa zamani sn.
Vipi kuhusu umasikini? Mbona hiyo hujataja?
 
Yeah..ni kweli
Domestic routes ndo zinalipa kwa ATC hata CAG alisema hilo
Juzi nilikuwa nacheki route ya mbeya ..hamna seats kama siku 3 mfululizo

..Cha kwanza Goverement iziimarishe Domestic Airports ..

Najua Mbeya imafanyiwa Marekebisho ya runway na mwaka huu watamaliza.

Route ya Mbeya kuna siku inawateja wengi inahitaji A220s kwa masaa mengine..

Nimeshangaa kwann ATC wameagiza Q400 moja tu safari hii..kwa upeo wangu wanahitaji Q400s hata 4 nyingne ..wawe nazo 10 jumla.

Kwann nasema hivi..

Kuna route zinahitaji Kuongezewa Frequency kama .Mbeya , Kigoma..

Kuna route soon zitaongezwa Freq ..Kama Songea

Bado hawajaanza kuruka to Musoma, shinyanga, Iringa, Tanga, Pemba , Mombassa , Lake Manyara , Lindi (With LNG coming lazima utakuwa mji mkubwa..

So Q400s si chini ya 3 ilibidi ziongezewe ..

Kwa International Hyo 787 na 737 Max 9 zitazokuja zitatuweka sawa...Maana Max 9 ita free 787 kwenye route ya mumbai
Q400 zinakuja 2 sio moja.
 
HHata
Wewe kuna wakati umepigwa vita humu na Watanzania wenzako Kisha kuwapangia Chenye watasema. Kuna Mtanzania humu msema kweli kabisa jina Walker255 , mmempiga vita Hadi haonekani kisa anapost ukweli na sio picha za Kibera kama mnavyotaka. Leo hii utuhubirie kuhusu kupangiana cha kusema?
Hata Tuusan anakuanga muungwana sana. One of the few Tanzanians I respect in this forum
 
Haya ya Tanzania hii hapa funga mjadala sasa, na kama kweli hauko biased kama Tony kubali kushindwa kuliko kukaa hapa unampangia mwenzio cha kuongea ilihali wewe umejawa wivu na tabia za kitoto, haya kubali kushindwa haraka tuone kweli joto la jiwe hakukosea kukuita mtoto View attachment 2251828View attachment 2251829
Mbona hataki kufunga mjadala keshakimbia kimya kimya
 
Tatizo lenu nyinyi hamna akili mnakubali mtu mmoja awapangie cha kuongea kisa mnamuogopa, inakuwaje mtu unajiita msomi alafu mjinga mmoja ana control akili yako? Yani mtu huwezi kukutana naye na unamuogopa, unashindwa kukosoa upuuzi unaofanyika nchini kwako kisa kuna mtu unamuogopa. Sasa upumbavu huo ndiyo hautaki bwana Tony, keshawahi kukwaruzana na mkunya mwingine ukiacha huyo mpumbavu na mkwaruzano ulikuwa ni kwasababu hiyo hiyo ya kumtaka bwana Tony aongee vitu ambavyo Wakenya wanataka kusikia.

Usiwe mjinga na usikubali mpumbavu mmoja a control akili yako wkt tabu zako unapambana nazo mwenyewe. Kupitia hizi forums ndipo serikali inapata kujua wananchi wanataka nn, sasa unaficha ficha ukweli ili uonekane upo vizuri kwa faida ya nani? Punguza upumbavu be independent.
Kama mimi nipo hapa kuwafurahisha Watanzania mbona juzi nimegombana hapa na Watanzania kuhusu mapato ya dhahabu ya $3.5 billion? Nyie mnasema kwamba yote inakwenda kwa serikali ya Tanzania na mimi napinga? Kimsingi hawataki mtu ambaye yupo independent minded. Nyinyi pia kusema ukweli, huwa mnawachukia independent minded thinkers wa Tanzania. Kama tuusan ambaye anaongea ukweli tu hata kama itawakasirisha Watanzania wengine. Walker255 pia ni independent minded. Geza Ulole ulole kwa kiasi fulani pia ni independent minded thinker japo ana ushabiki kidogo lakini nimemuona mara nyingi akipingana na Watanzania kuhusu jambo analoliamini.
 
JF is not capital investment bruh.

There is a trend from bongolalas on this page boasting over non-existent wealth when you can clearly see through their insecurities and gauge the kind of life they live. If some of us were to expose our lives on this forum you guys would be shocked. lol. Wewe nunua simu wacha kuota.
Njoo huku tufunge mjadala wa sgr control center kwanza ndio tuendelee na mambo mengine hatutaki ulimbikizaji wa mijadala hapa View attachment 2252338
Screenshot_20220605-134059.jpg
 
Huyo huyo tuusan amepigwa vita humu Sana na Hawa hawa wanaochocha Tony.
They don't like divergent views, especially from their countrymen. Kuna wakati Geza na Walker255 walizozana sana humu ndani just because Walker wasn't subscribing to their line of thinking. In most cases, wanasemanga watu Kama hao sio patriots and they even go as far as saying they are Kenyans
 
Sasa viwanja vya Mbeya na Arusha unaweza kufananisha na CCM Kirumba? Engineer acha uzushi wa Kisukumagang bana! Si kila kitu Mwanza wapewe kuweni na timu ligi kuu kwanza!

Ndo kama majuzi arena Dar inapelekwa Mambwepande na kuacha Taifa penye nafasi ya kutosha ukiondoa old dilapilated indoor na pia kuna ready supporting infrastructure BRT and shorter distance n easy access to JKIA, TAZARA, SGR n MGR (Pugu n central stations), Magufuli Bus Terminal n Zanzibar ferries!

Ndo maana miradi mingi ya serikali haifanikiwi maana maamuzi huwa yana siasa. Angekuwa investor ni private na kachukua mkopo hawezi acha Taifa hata siku moja!
Kwani hivyo vya Arusha na mbeya haviwezi kukarabatiwa vikawa vya kisasa?
Hapa Ngosha unatafuta attention pitia argument yangu! Kirumba ulivyo can easily be modernised to 40,000 or 60,000 seats stadium! Uwanja ule unatosha hamuhitaji mpya, mpira wenyewe hamjui!
Kwa sasa hakuna ligi kuu huko na Afcon 2027 bado ukarabati wa nini?
Kwanza kuna viwanja viwili kuna nyamagana pia, bora kujengwe majukwaa nyamagana tena nyamagana ni wa serikali sio wa ccm.
Mnapenda kila kitu mwanza tu acheni usukumagang.
 
Back
Top Bottom