Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We taahira mbona usihangaike na nchi yako ikomeshe njaa unakuja kujichanganya na fools hapa, halafu unajikutaga we kenge, sijui ni sababu wabongo huku wanakutajataja, kwa taarifa yako huna lolote
So ameanza kujiona yuko smart sn au sio, kisa amewazidi akili hao mbwa wengine
 
Kama Mombasa aisee
Yeah kama Mombasa aisee
tapatalk_-434380366_414x512.jpg
tapatalk_-2072752866_512x288.jpg
tapatalk_36765001_310x404.jpg
tapatalk_-974329092_310x387.jpg
tapatalk_1511794322_384x512.jpg
Screenshot_20220529-010505.jpg
Screenshot_20220527-234512.jpg
Screenshot_20220527-234622.jpg
Screenshot_20220526-084856.jpg
Screenshot_20220525-174618.jpg
Screenshot_20220525-164905.jpg
Screenshot_20220526-083845.jpg
Screenshot_20220525-163737.jpg
Screenshot_20220526-085727.jpg
 
Hapa kidogo nawapongeza Wakunya kwa hii expressway yenu, angalia jinsi inavyo stretch from north to south kama nyoka hadi raha View attachment 2251934
Expressway yao nzuri ila hii picha sio yao, Hapa ni Northern Greece. Pia Kenya wanadrive upande kama wa kwetu hapa, ila angalia taa za nyuma za gari (nyekundu) zipo upande wa kulia na za mbele zipo kushoto.
 
We taahira mbona usihangaike na nchi yako ikomeshe njaa unakuja kujichanganya na fools hapa, halafu unajikutaga we kenge, sijui ni sababu wabongo huku wanakutajataja, kwa taarifa yako huna lolote 😅😅😅
Sijawaita fools nimesema huyo jamaa ndio amewaita fools. Wewe jamaa tatizo kiingereza kinakutatiza sana. Angalau soma vigazeti vya kiingereza uboreshe uelewa wako wa lugha hio. Hakuna mahali nimewaita fools. Tatizo nimetumia kiingereza kizito sana hadi kimekupiga chenga. Nimesifia hii forum ya JF na sijawakashifu.
 
Expressway yao nzuri ila hii picha sio yao, Hapa ni Northern Greece. Pia Kenya wanadrive upande kama wa kwetu hapa, ila angalia taa za nyuma za gari (nyekundu) zipo upande wa kulia na za mbele zipo kushoto.
Wameanza kusema ukweli, expressway ya Kenya ni?????
 
Back
Top Bottom