chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,308
- 45,107
45. Fufu > Iringa 190 kilometers
🛣️. 3910 km
46. Nyahua > Tabora 85 kilometers
🛣️. 3995 km
45. Fufu > Iringa 190 kilometers
🛣️. 3910 km
Nilishangaa sana kipindi wameitoa, nikafanya utafiti mdogo nikagundua ni kwa marehemu wote ila kuna wengine hawajazirudisha!
46. Nyahua > Tabora 85 kilometers
🛣️. 3995 km


COMESA hakuna kitu mkuu, ndio sababu wakenya walipiga Sana kelele tulipoamua kujitoa COMESA, waulize wakupe takwimu za biashara wanayofanya na COMESA, hawana kwa kukimbilia zaidi ya EAC hapa Afrika, kwa kifupi Kenya hutegemea Tanzania na Uganda tu hapa Afrika, na South Afrika, nchi ambayo waliisaliti enzi za utawala wa wazunguNani anachukia wao kufaidika na COMESA?



Wakenya vipi, tuwakaribishe au tuwaacha na mabwana zao wa magharibi?Na sisi mda sio mrefu tunaungana nao huko



Sema wamechelewa sana kufanya hivyo china na russian walitakiwa siku nyingi wawe na hiyo pesa ya pamoja hata kama pesa zao za ndani zikibaki ila wawe nw pesa ya biashara ya kimataifaNa sisi mda sio mrefu tunaungana nao huko
47. Kyaka > Bugene 60 kilometers
🛣️. 4055 km
Pambaneni na ukabila kwanza, kumbuka "yribalism is a primitive way of life, it remains only in primitive communities".![]()
![]()
![]()
Siasa ya bongo ni ya kishamba sana. Eti huyo amepatia watu hearse. Hii lorry itakuaje hearse.
![]()
Hapo kwenu "inflation" ikipanda mnasema" it is a global problem, it happens even in western countries", kwenu ninyi kila linalotokea nchi za mabwana zetu mnadhani ninyi hamuwezi kupambana nalo.,Haya ni mambo magumu sana. Democrats japo nawasupport wataangushwa kwenye uchaguzi wa November kwa sababu ya high inflation. Wamarekani wapo sensitive na mambo ya uchumi.



48. Tabora > Nzega 115 kilometers
🛣️. 4170 km
49. Tabora >Urambo 94 kilometers
🛣️. 4264 km
50. Bagamoyo > Msata 64 kilometers
🛣️. 4328 km
51. Tunduma > Sumbawanga 223 kilometers
🛣️. 4551 km
Huu ukweli lazima ilikuuma sana, Mombasa na Dar zinatembea pamoja maandishi yako yatabiki kukua tu maandishi 🤣 🤣🤣🤣🤣 😆 😆 😆ikiwa mwanza tu inajinyea unaiwazia dar 😂😂😂😂😂😂 naona ushajua kutofautisha kati ya street na main road
😆 😆 😆 😆 😆 😆 😆 😆pole bro naona na vilaza wenzako mmejitekenya na kucheka, poleni sio kwa kupenda kwetu ni Kenya ilivyo., hii povu mmemwaga humu imevunja rekodi ya jf, na bado mtazimwaga🤣🤣🤣🤣😆😆naomba nikushauri bro kwa hapo mushakamatika kua mpole tu mzee🤣🤣 tanzania haiko nigeria sisi ni majirani zenu tunajua mpaka alama za chupi zenu so ujue kabisa watu mutawadaganya ni watu wa mbali lakini sio watanzania
hakuna wakat umekua mgumu kwako kama safari hii pumzika uamke salama uvae koti kwenye jua kali ukazunguke CBD kutafuta wifi za bure 😃😃😃🙏🙏
Wapo mashariki bahati mbaya hao ni miongoni mwa Western countries my footHapo kwenu "inflation" ikipanda mnase" it is a global problem, it happens even in western countries",
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

52. Mbeya > Chunya 72 kilometers
🛣️. 4623 km
Kwa kiswahili hawa vilaza hamtowaweza, ikija empty domo domo ni mabingwa, kwanza wakifinywa na facts., watavuja povu na useless points, ona eti vipicha vya barabara kujiliwaza.., Google earth, TANROADS, NBS, WB, IMF asanteni sana! Tz ni mifukara bin mikwara 🤣 🤣 🤣 🤣🤣🤣Wanapiga kelele mingi alafu at the end of the day..wako na interchange na fly over less than 5 ..The whole of tanganyika na zanzibar...such a shame...