Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,626
- 7,180
Huyu jamaa ananikumbusha mapambano ya mwenda zake.
Huyu mwamba mm namuelewa sana
Huyu jamaa ananikumbusha mapambano ya mwenda zake.
Mtanzania mmoja aliyejaribu huo upuuzi wa kupiga 180 kph alikufa kwa ujinga wake. Barabara ambalo ni single-carriageway,lina round-abouts na lina bumps utakuwa zuzu kujaribu kupiga 180 kph pale.
Bongolala, vitakuwaje vya upande upande wakati picha nilileta za Mabibo, Vingunguti, Keko, Manzese, Mbagala, Gongolamboto, Tandale, Buguruni na maeneo mengine mengi? Sema tu mumeishiwa nguvu za majibu kwa middle-class areas zenu nilizoletaHana akili huyo, yeye vipicha vyake daily ni hivyo hivyo tu, vipicha vya upande upande. Hapo akiongeza angle kdg tu unaona uvundo wote.
Anayeumia ni nyinyi mnaolazimisha fikira zenu ziwe na kweliUmeumia![]()
Wana huu uozo wa gikomba 😅😅😅
Tena hapa umeshakarabatiwa to international standards
Vipi tena hutaki picha za dreamhouses zenu!? 😂 😂 😂Unatujazia server kwa vipicha vyako hivi hivi kila siku mzee.
Hebu leta dhibitisho ya madai yako. Tangu tuanze kutumia nguzo za zege haijafika hata miaka kumi. Sasa hiyo ishirini ulitoa wapi wewe?Walisema wameachana nazo miaka 20 iliopita 😅😅😅😅
Hata haoini viti vya hiyo gari iliyohusika kwenye ajali ni nyeupe kama tu ya gari aliyokuwemo ndani huyo jamaa akijirekodi. Hawa watu wanapenda ubishi za kijinga sana, hata mahali ubishi haufaiNo. You are the silly one for arguing with facts.
Ulisomea wapi kaka, na ulisomea kosi gani?Inflation inaletwa na shortage ya food nyie Kunyaland mnatumia monetary policy sasa sijui ita work kivipi..
Haya ni matope sio akili 👇
Cherry picking to suit your narrative. Zoom pia Tandale, Vingunguti, Mabibo, Mazense, Keko, Buguruni pia tuone. Ukimaliza nikuongeze list ngingineNikuambia niletee Google map ya hiyo unayosema slum utaleta?
Tanzania houses you used to refer as slums
View attachment 2245975View attachment 2245976View attachment 2245977View attachment 2245978View attachment 2245979View attachment 2245980View attachment 2245981View attachment 2245982
UDSM-BA in EconomicsUlisomea wapi kaka, na ulisomea kosi gani?
Whichever way you want to look at it bongolala, we are just worlds apart.Ila we jamaa pumbafu sana 😂😂😂 asa sjui unatudanganya au unajidanganya
Kanairo umezoom in. dar umeisogeza mbali sana
Tabia za kikenya kabisa hizi!
uhehehheheheh wacha leo nicheke hvi ww tony unahisi utanidanganya mm kitu kuhusu mombasa?? do u think so??🤣🤣🤣🤣🤣
Fresh truth from home 😂😂😂😂😂
Huu uchafu ndio wa kulinganisha na Mwanza