Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
Nairobi
Dah hili swali lako itabidi uwaulize wahusika! Timetable inamaanisha pia utaratibu bora.Ni kweli badala ya kuondoa kwa wakatokea Mmoja. Hivi kwanini ya Kanda ya Ziwa na Kigoma yasiwe yanaanza mchana ili muda wa kufika kuanzia Kahama iwe ni asubuhi na badala ya kulala njiani yaende moja kwa moja?
Sababu ya kuyazuia ni usalama usiku wanaweza kutekwa maana yanapita sehemu zenye pori, so mchana huwa hayatekwi na kuna usalama zaidi.
Hili walifanyie kazi siyo lazima kuwalaza watu njiani kama uchovu madereva wako wawili. Mmoja anapumzika na mwingine anaendesha.
Wazee wa English!Tobaa!🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 2244857
Hizo ni makazi ya watu ama jehanamu? 😂 😂 😂Sa mbona unaweka shule kulinganisha na makazi ya watu.?
even upto Giturai45 Estate, some 20km away from the cbd, houses are still consistently planned and organised, you can even ask Shebby01, hoping this tyme round he'll be touched to open his heart and say truth about the planning, organization and the general standards of ALL the estates within nairobiHizo ni makazi ya watu ama jehanamu? 😂 😂 😂
I can feel your pain and dissapointment. Na imagine hapo bado nipo tu maeneo ya Eastlands!
Povu imeisha au bado?
Eastlands still
View attachment 2245017View attachment 2245018View attachment 2245019View attachment 2245020View attachment 2245021View attachment 2245022View attachment 2245023View attachment 2245024
Dar is slum 😂 😂 😂
View attachment 2245027View attachment 2245028View attachment 2245029View attachment 2245031View attachment 2245032View attachment 2245033View attachment 2245035View attachment 2245036View attachment 2245037View attachment 2245038View attachment 2245039View attachment 2245040View attachment 2245041
actually huyu ata amekosea.... neno sahihi ni 'SHUDREN' na wala sio CHULDREN...Wazee wa English!
Huyo The best kama alisema hivyo basi ni mpumbavu. Expressway ni 27 kilometres sio 7 kilometres.kisha utammskia The best 007 akibisha eti expressway ni 7km! only instead of the whole 27km stretch frm Mlolongo to JamesGichuru Rd Westlands
Ameamua liwalo na liwe. Sheria haziruhusu 180 kph. Hio ni kutafuta kifo hata kama hakuna bumps na kuna interchange katika kila junction siwezi kupiga 180. Sina huo ujasiri.Sheria zinaruhusu au ameamua liwalo na liwe tubarabara mkeka mwendo mdundo nini shida.
Wakenya wanamjua na kumfollow mpk mange,wanawajua hadi wakuu wa mikoa ya TZ while sidhani kama kuna MTZ anamjua hata VP wa kunyalandHakuna kitu kama hicho, Kenya ndio ina fuatilia zaidi Tanzania kuliko hata nchi yao, angalia tu kwenye maneno yenu ya mitaani mnayoongea 90% yametoka Tanzania
Mfano wa misimu ya Tanzania inayotumika Kenya
Kimeumana
Tuma na ya kutolea
Utajua hujui
Huendi Mbinguni
Tanzania sihami
Kwa ground vitu ni tofauti
Hapa Kazi tu
Utajibeba
Hunipangi (hatupangwingwi)
Nk
Hii ni ishara inayoonesha mnafuatilia sana Tanzania, huku Tanzania ikiwa haina influenced by Kenya kabisa, sio miziki wala Maigizo, hakuna mtanzania anaemjua mwanamziki wa kenya wala muigizaji huko mitaani.
Angalia hapo kuna mkunya kaamua awe mkweli tuMkuu Kenya ni chafu mno, maeneo mengi karibia over 99% ya Kenya nzima ni pachafu, sehemu iliyo safi Kenya ni ikulu pekee japo pia kuna slums pembeni ya ikulu. Ofcz Kenya na Nigeria ndio nchi chafu zaidi Afrika na pengine zimo kwenye top ten ya dirtiest countries in the world.
Wewe wacha ujinga. Sentensi "Tuma na ya kutolea au tuma na ya kutoa." Ilianza Kenya. Kumbuka Mpesa ilivumbuliwa Kenya na sio Tanzania. Mpesa ilivumbuliwa Kenya na Safaricom April 2007. Technolojia hii ilizinduliwa Tanzania mwaka mmoja baadaye mwanzoni mwa 2008. Kwa hivyo sentensi hio ilitumika Kenya sana kabla hata teknolojia hio haijafika huko kwenu.Hakuna kitu kama hicho, Kenya ndio ina fuatilia zaidi Tanzania kuliko hata nchi yao, angalia tu kwenye maneno yenu ya mitaani mnayoongea 90% yametoka Tanzania
Mfano wa misimu ya Tanzania inayotumika Kenya
Kimeumana
Tuma na ya kutolea
Utajua hujui
Huendi Mbinguni
Tanzania sihami
Kwa ground vitu ni tofauti
Hapa Kazi tu
Utajibeba
Hunipangi (hatupangwingwi)
Nk
Hii ni ishara inayoonesha mnafuatilia sana Tanzania, huku Tanzania ikiwa haina influenced by Kenya kabisa, sio miziki wala Maigizo, hakuna mtanzania anaemjua mwanamziki wa kenya wala muigizaji huko mitaani.
I am with you all the way.Nimemmis sn Magufuli, angelikuwa hai mpk ss angekuwa ndiyo kiongozi anayejulikana zaidi duniani kutoka Afrika. Alishaanza kuwateka wazungu kiasi cha kwamba wazungu walikuwa hawapitwi na hotuba zake, licha ya kwamba zilikuwa kwa lugha ya kiswahili lkn wazungu walizitafsiri. Kwangu mm Magu ndiye rais bora kabisa kuwahi kutokea Tz akifuatiwa na the late Nyerere ambaye ndiye our father of nation, japo ukimuuliza Magufuli kiongozi bora kwake ni Nyerere na hajawahi kuacha kumuimba ila mm kwangu Magufuli ni zaidi ya wote. RIP Mwamba.View attachment 2244720
Kwa kweli sijui polisi wana tumia mbinu ghani kupambana na hawa jamaa🤣🤣🤣🤣🤣Kwahiyo hata Polisi akitokea hawamuelewi?
Inchi hii ina shida jamani![]()
Mtanzania mmoja aliyejaribu huo upuuzi wa kupiga 180 kph alikufa kwa ujinga wake. Barabara ambalo ni single-carriageway,lina round-abouts na lina bumps utakuwa zuzu kujaribu kupiga 180 kph pale.
Ila we jamaa pumbafu sana 😂😂😂 asa sjui unatudanganya au unajidanganyaHizo ni makazi ya watu ama jehanamu? 😂 😂 😂
I can feel your pain and dissapointment. Na imagine hapo bado nipo tu maeneo ya Eastlands!
Povu imeisha au bado?
Eastlands still
View attachment 2245017View attachment 2245018View attachment 2245019View attachment 2245020View attachment 2245021View attachment 2245022View attachment 2245023View attachment 2245024
Dar is slum 😂 😂 😂
View attachment 2245027View attachment 2245028View attachment 2245029View attachment 2245031View attachment 2245032View attachment 2245033View attachment 2245035View attachment 2245036View attachment 2245037View attachment 2245038View attachment 2245039View attachment 2245040View attachment 2245041