Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mtu anayeishi hapa, anaishi vizuri? 🤣🤣🤣🤣🤣 I give up


Of course mtu ambaye anaishi hapa ndio anaishi vizuri
Screenshot_20220527-004307~2.png
 
Bongolala, vitakuwaje vya upande upande wakati picha nilileta za Mabibo, Vingunguti, Keko, Manzese, Mbagala, Gongolamboto, Tandale, Buguruni na maeneo mengine mengi? Sema tu mumeishiwa nguvu za majibu kwa middle-class areas zenu nilizoleta
Hee kwanini utaje maneo yote hayo, wakati two districts of Dar es Salaam ar bigger ×2 to NAIROBI .. Kinondoni District inatosha kuilaza chali kanairo
 
chongchung Black American mwingine ndio huyu amekuja Nairobi. Huyu alikuwa Nairobi one week ago. Ameenda Marekani wiki moja tena amerudi Kenya. Halafu huyu ana pesa sana ukizingatia ile apartment ambayo anapanga kuishi ni ya hadhi ya juu sana.
 
Back
Top Bottom