THE BOILER ROOM
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 1,054
- 3,212
naomba nikazie zaidi 🤣🤣
Asante sana 😆 ndg yangu Icho!!!.
naomba nikazie zaidi 🤣🤣
Ujinga ndio shida yakeView attachment 2244697
- Kuna mwehu mmoja alisema kuna kipindi (2016-2020) Peak demand ilizidi installed capacity
- Pia alisema demand ilikuwa inashuka kutoka sijui 2018 kwenda 2020
Si mwenzako alisema 90% of Nairobi ni mbovu? Sasa mbona unakasirika nikipost picha mbovu za Nairobi? Na hapo ni Eastlands tu, Donholm na Umoja! 😂 Dar is unplanned kushoto kulia kijana. Linganisha hizi tena kisha rudi na povu 😂Unalinganishaje unplanned settlement na hizo planned shule zenu hapo chini.?
Yeah Mwanza iko vizur sanaMwanza pako peace sana!
Sa mbona unaweka shule kulinganisha na makazi ya watu.?Si mwenzako alisema 90% of Nairobi ni mbovu? Sasa mbona unakasirika nikipost picha mbovu za Nairobi? Na hapo ni Eastlands tu, Donholm na Umoja! 😂 Dar is unplanned kushoto kulia kijana. Linganisha hizi tena kisha rudi na povu 😂
DarView attachment 2244930View attachment 2244932View attachment 2244933View attachment 2244934View attachment 2244935
Nairobi View attachment 2244936View attachment 2244938View attachment 2244939
Huwezi taja Kenya bila uchafu mkenya utamkuta yuko smart,mwambie atoe viatu sasa jamaa wa tissue![]()






kenya maralal,lodwar,lokichokogio,tana river,nyeri,muranga,maua,garissa kakakuma dadaab etc mfano did you know kuna sehemu ukielekea kakuma kama hamna dumu la maji hampiti mnatumia kama entrance fees!







entrance fee hii noma sana.Itabidi mabasi yahudumiwe kwa timetable!Hii Magufuli stend itaweza ku-accomodate magari yote kweli ya mikoani naona kama patajaa sana na kuleta usumbufu na msongamano mkubwa
Yaaani pale wanaweka na vizuwizi barabarani kabisa hanna kupita bila ya kuhonga dumu la maji!entrance fee hii noma sana.
naomba nikazie zaidi 🤣🤣
Ni kweli badala ya kuondoa kwa wakatokea Mmoja. Hivi kwanini ya Kanda ya Ziwa na Kigoma yasiwe yanaanza mchana ili muda wa kufika kuanzia Kahama iwe ni asubuhi na badala ya kulala njiani yaende moja kwa moja?Itabidi mabasi yahudumiwe kwa timetable!
Kwahiyo hata Polisi akitokea hawamuelewi?Yaaani pale wanaweka na vizuwizi barabarani kabisa hanna kupita bila ya kuhonga dumu la maji!



Sasa hiyo answer sheet si inaloa kwa jasho mpaka kusubmitt imechanika yooote


