Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huu ufukara huwezi kuuona kwenye mji wowote wa Tanzania

View attachment 2239859
ntashukuru zaidi uki comment pia kuhusu hapa alexandra, afrika kusini
alex.jpg
Woman-washes-clothes-in-a-016.jpg
 
Hawa wakulungwa wakisikia jina mbagala wanafikiri ni mchezomchezo ila nishawajua wana kasumba na majina ya kizungu sana. Have you noticed slums zao zote majina ni ya kikunya ila posh areas utasikia majina ya mkoloni.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Huyu Black American nimemfuatilia sana wakati nipo nyumbani na hii weekend iliyopita niliwatch video zake kadhaa youtube. Kapigwa kalamu katika kazi nzuri aliyokuwa nayo hapa Nairobi kwa sababu ya kutoa maneno machafu mbele ya wanafunzi. Alikuwa anafundisha katika International school of Kenya na alikuwa analipwa $60,000 per year ambayo ni pesa nyingi sana. Shule hii ni ya matajiri sana, sio shule ya kawaida. Sasa Black Americans wana tabia mbaya ya kutumia maneno machafu kama f*ck, sh*t, motherf*cker na kadhalika.

Alidhani ataleta ughetto wa USA hapa Kenya. Sasa mzungu aliyempiga kalamu alipomuambia kwamba atamlipia gharama zote za usafirishaji ili arudi USA, akakataa akasema anataka kubaki Kenya. Sasa amepeleka shule hio mahakamani kwa sababu anataka kulipwa fidia ya kufutwa kazi. Hii hadithi yote yeye ndio kaeleza kwenye video yake. Ameishi Kenya zaidi ya miezi sita sasa. Amekwama Nairobi na hata juzi alikuwa Tanzania akawatukana sana Watanzania kwamba nyie ni lazy. Mimi mwenyewe nilipost hio video hapa akisema wanaume wa TZ ni wazembe sana kushinda Wanaume wa Kenya.
Huyo dada hajielewi na hata yy mwenyewe muda mwingine uwa anasema hata hajielewi elewi,ile kauli ya kudai sisi ni malazy aliisema akiwa TZ ndani ya wiki tu akawa kishajua sisi ni malazy while TZ kuna wamarekani wenzake wana miaka wanaishi bila kuongea upumbavu kama ule,binafsi nilijua tu kuna wakenya walishamuaminisha hivyo kabla ya kuja TZ,sasa hivi kule alikohamia ndio ataijua kenya vizuri maana ukiondoa leo hii kwenda kununua nyama kwenye butcher zinazotumia kigogo na axe kukatia nyama juzi kati niliona analalamika kuibiwa simu,kazi anayo yule mdada
 
Flooding? That's so shallow of you😂 This happens even in Western cities. I can show you hundreds of photos but there's no point. Anyway, vipi kuhusu hizi dreamhouses ambazo hazipumui ndani ya maji Dar?
images - 2022-05-27T021412.191.jpeg
images - 2022-05-27T021427.367.jpeg
images - 2022-05-27T021822.151.jpeg
images - 2022-05-27T021907.114.jpeg
images - 2022-05-27T021315.504.jpeg
images - 2022-05-27T021338.881.jpeg
images - 2022-05-27T021354.996.jpeg
 
Is over pricing of your projects must be done in Tanzania?, because you ra very corrupt in every sector, you want us to be corrupt too?. The main reason why your SGR is expensive is corruption only, stop telling us your nonsense.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Fuatilia thread bongolala. Usiwe unaamka usiku wa manane na maganda machoni ukaanza kuandika povu pasi na uelewa wa kinachoendelea
 
Nisiwe muongo kweli naishi tz tunaambiwa per capita ni $1260 ilaaaa hawa mafala wanateseka balaaa...sijawahi kuishi kwenye takataka kama hizi
Picha ya Kibera inakufanya ufikirie Tanzania is better?? What the fvck! 😂 😂 😂 what's the difference between these two photos if I may ask?
JamiiForums-1702345597.jpg
images (97).jpeg
 
😅😅😅 i didn't knw SimpleBoy is a good rapper.. SimpleBoy performing in front of the president, high profile delegates, diplomats, distinguished guests, etc.. At the previous Jamhuri/Independence Day celebration 12thDec2021

 
ntashukuru zaidi uki comment pia kuhusu hapa alexandra, afrika kusiniView attachment 2240071View attachment 2240069
The gape between poor people and rich people in Kenya and South Africa are extremely wide and the same due to the economical inequalities and unparalleled distribution of resources and opportunities , quite different from Tanzania's status!

FTSnMA0XoAM72WX.jpeg
FTSnKrnX0AEuD5R.jpeg
FTSnJupWQAAmw6V.jpeg
 
Hawa wakulungwa wakisikia jina mbagala wanafikiri ni mchezomchezo ila nishawajua wana kasumba na majina ya kizungu sana. Have you noticed slums zao zote majina ni ya kikunya ila posh areas utasikia majina ya mkoloni.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Westlands, Karen, Lovington, 😅😅😅😅 though both areas never miss slums even by smell 😆
 
Picha zako zaidi ya nusu ni za Kibera as always.

And did you say same location different angles? 😂 😂 😂
Take a look below. From Vingunguti to Mabibo to Keko Mwanga to Mbagala to Gongo la mboto to Tandale to Manzese to Tandika to Buguruni and many other places, Dar is a glorified fishing village with uswazi hovels everywhere you look View attachment 2240100View attachment 2240101View attachment 2240102View attachment 2240103View attachment 2240104View attachment 2240105View attachment 2240106View attachment 2240107View attachment 2240108View attachment 2240109View attachment 2240110View attachment 2240111View attachment 2240112View attachment 2240113
Zote hizo ni sehemu moja tena hakuna slums hapo

Nairobi yote ni slums na huwezi kuziondoa kwa kubisha huku jf 😅😅😅

Eti hii ni slums!

Screenshot_20220324-035659.png

images (1).png
 
Back
Top Bottom