The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Nionyeshe hiyo Sego slum kwa Google maps niame hili jukwaa.
Nionyeshe hiyo Sego slum kwa Google maps niame hili jukwaa.
[emoji1787][emoji1787]Hawa ni mafukara mno, sema midomo yao ndio mipana, ila sasa hapa wamegonga mwamba sisi wenyewe Watz tuna midomo mipana kuliko yao [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Kwani mie si mkweli? Umeanza ubaguzi? Mie elimu yangu vidudu!
Asante Sana mkuuInstall app ya skyscrapercity ni kama ya jamii Forums au unaweza kutumia browser, zen unatengeneza I'd kama JF, ofcoz haina utofauti na JF.
Kwenye daladala wameongeza sh 100 huku hawa wajuba wanataka kuongeza 500 nzima 😅😅 tutafika tumechokaa sanaa
"Kwani huoni vile ambavyo wakenya wanavyowashambulia .......", hakuna neno " venye" katika lugha ya KiswahiliKwani huoni venye wakenya wanashambulia Nigeria and Ghana huko? For that Tanzanian guy I can't say much about him cause he always post ocean and mountains. There was a time Kenyans became unbearable in Nairaland hadi Nigerians, South Africans and Ghanaians teamed up to roast Kenya.
Aliyewaroga aliwaweza kabisa.Mazingira yao ya ufukara yanaakisi maisha ya Wakunya wengi sana.Wakunya ni mafukara yasiotaka kuishi uhalisia, ni masikini wa chakula lakini wanataka kuchukuliwa kama wealthy people from Beverly Hills [emoji28][emoji28][emoji28]
How did this come to be? Is it that many Kenyans live there and they renamed the streets or what? This is strange but interesting.at first u might think this is an estate in nairobi and just because roads are named after kenyan towns...... but u ll be suprized if u told u this is an estate in santon, johannesburg, south africa
View attachment 2239828
Hakuna kabisa nchini mwetu. Hapa utakuta ni mji mkuu wa nchi yao.
Wimbo wa kwanza wa Diamond ilikuwa inaitwa Mbagala. Naikumbuka hio wimbo sana.
Kuna siri gani kati ya wakunya na hizi slums, mbona kama imekuwa icon ya nchi yao?[emoji848][emoji848]Unategemea nini wakati ikulu ya nchi ipo ndani ya slum? [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
View attachment 2239863
[emoji2357][emoji2211][emoji2211]bila shaka ameashaanza!!
Machinjio ya kisasa kama hii uko kaskazini ipo kweli
Bila chenga state house Kenya ni part of the slum!
Kuna watu nashangaa sana wanaposema wamelizika na huyu mama, kuna mda najiuliza au mm ndio nazingua mana kiukweli kabisa huyu mama ame proove failure in almost everything.Kiukweli hii serikal ya sasa ya kindezi sana.. wanachojali ni wao kupata hela..hawajali katika kupata hio hela mwananchi anaumiaje.. na no.1 yuko kimya kama autopilot..kazi yake kuzururazurura tu..huyu ni wa kummwaga chini