Tender zake mbovu mbovu...Sino Hydro anapewaje BRT phase 3 wakati phase 2 tu anaznguaMambo safi kwenye misharaha, kibubu kimejazwakuna kaongezeko kameonekana, japo kwangu kaongezeko ni kidogo lkn kheri..
kaupiga mwingi, lkn 2025 apumzike![]()
Kwa wenye magari.. mfano yangu full tank ni litres 93.. nilikuwa najaza mara mbili full tanks kwa almost 460k ( 230k×2)Shida ni kwamba hako kahela kalikoongezeka hakana impact yoyote mana vitu vimepanda bei maradufu. It's better wasingeongeza ila wangejitahidi kudhibiti mfumuko wa bei.
Za wenzao zinakufa tu.. Dah..hawa jamaa mpaka wachimbwe biti ndo wafanye modernization?
Hii awamu ya sita ina rushwa kuliko serikali zote duniani.Tender zake mbovu mbovu...Sino Hydro anapewaje BRT phase 3 wakati phase 2 tu anazngua
Nitashangaa sana nikisikia anataka kuchukua form.Kwa wenye magari.. mfano yangu full tank ni litres 93.. nilikuwa najaza mara mbili full tanks kwa almost 460k ( 230k×2)
Saiz najaza full tank mara mbili kwa almost 630k
Sasa difference hapo ni almost 170k.. ambao ni kulekule kwenye ongezeko, so ongezeko lote limeenda kwenye mafuta (kwa wafanyabiashara na serikal)
Sasa hapo bado gharama zingine vya vyakula, ujenzi, etc. 2025 mtalii akapumzike
Kwa wale wanaopayuka kwamba Dar is a slum haina slum tazameni hapa.
View attachment 2234711
Masaki ni kwa matajiri na msasani ni slum na zipo side by side. Matajiri na masikini wanaishi next to each other.
Wameishiwa hela za BRT 2 sababu ya kurudiarudia kazi😅, so wamepewa za BRT 3 ili wafidie 🤭🤣Tender zake mbovu mbovu...Sino Hydro anapewaje BRT phase 3 wakati phase 2 tu anazngua
Wewe unaishi wap?Tz utumbo au patikani kwenye mabucha labda sehemu chache sana buchani uwezi kukuta utumbo ,pia hapo labda ni nje ya machinjio ndiyo kuna mambo kama hayo




Uzuri nilikuwa nimeshamaliza kula



Hizi ni kitu gani bro?Sasa picha kama hizi mbili za Ruai zikishawekwa hapa ni mazingira gani tena unataka kuona kando na hii? Ama mazingira ni nini?
View attachment 2235626View attachment 2235628
Ama unadhani kwamba Nairobi pia ni jiji la uswazi?

hii battle imeanza kupoteza muelekeoAlafu ndo kapewa msalato huyo 🤔Tender zake mbovu mbovu...Sino Hydro anapewaje BRT phase 3 wakati phase 2 tu anazngua


Mzee unaendesha machine Nzito hutakiwi kulalamika bei ya mafutaKwa wenye magari.. mfano yangu full tank ni litres 93.. nilikuwa najaza mara mbili full tanks kwa almost 460k ( 230k×2)
Saiz najaza full tank mara mbili kwa almost 630k
Sasa difference hapo ni almost 170k.. ambao ni kulekule kwenye ongezeko, so ongezeko lote limeenda kwenye mafuta (kwa wafanyabiashara na serikal)
Sasa hapo bado gharama zingine vya vyakula, ujenzi, etc. 2025 mtalii akapumzike
Hivi wakuu hizi taarifa ni za kweli au na nyie mmewaiga na kuanza kutengeneza fake articles, vipapatio vya kukuVipapatio vya kuku ni ghali kama almasi
Wakati Tanzania mgeni akija ukampa kipapatio ni dharau kubwa sana




kweli??,watu wana maisha aisee!!!Ongezeko hadi July man au ww ushaona changesMambo safi kwenye misharaha, kibubu kimejazwakuna kaongezeko kameonekana, japo kwangu kaongezeko ni kidogo lkn kheri..
kaupiga mwingi, lkn 2025 apumzike![]()
Namuona jamaa akipiga kasia kama mvuvi vile. Siku hizi hatuwasikii wakiisema Jangwani!!
Kama ni 300 per car
Hongereni sana siye tuko mashambani huku tunangoja ruzuku za pembejeo tuone mwaka ujao tunaupigaje.Mambo safi kwenye misharaha, kibubu kimejazwakuna kaongezeko kameonekana, japo kwangu kaongezeko ni kidogo lkn kheri..
kaupiga mwingi, lkn 2025 apumzike![]()