Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 10,383
- 17,626
Unaelewa ulichokisema?
Ndiyo labda unaweza kunisahihisha lkn Dar sijaona public park kama vile Uhuru Park Nairobi hata botanic garden Dar ni ndogo sana na wameimega yote wamejenga skyscrapers, Coco beach yenyewe kama siyo Magufuli na Lukuvi ilikuwa tayari imeshauzwa na kupigwa uzio, mji wa watu zaidi ya milioni 4 lkn hakuna public places za maana za kupumzika kama zipo unaweza nitajia!
Btw. Gymkhana originally ilikuwa ni public park kama vile Uhuru park ambayo ili extend mpaka baharini lkn wanacheza golf na kwingine wameimega kujenga Hoteli na majengo ya Serikali!