Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na ndio maana miradi yenu yote mchina ndio anafanya kila kitu, njoo Tanzania uone watoto wadogo wana operate heavy duty machines mpaka mchina anashangaa, go to our mining sites, all machines are operated and attended by young locals kama wamezaliwa nazo vile 😅😅😅😅
Wewe primary school dropout ukona very low IQ. 🤣 🤣 🤣 Mimi nikuje Tanzania kuona watoto wadogo wakiendesha tingatinga, are you out of your mind.
 
Nasubiri mtu aseme ka Nairobi kanaizidi Dar kwa miti.

Miti ya Dar haina mpangilio imejiotea tu na kuchanganyika na nyumba, Nairobi kuna eneo maalumu kabisa kwa ajili ya Miti tu nimefika wanaaita Nairobi arboretum, Dar hatuna hata Public Park ya maana Mnazi mmoja imepigwa kufuli ile ya Gymkhana wanacheza Golf!
 
Screenshot_20220525-175231_Twitter.jpg
 
Kwanza hamfai hata kusema mnalo jeshi, si ndio nyie jeshi lenu lilizidiwa na alshababu wanne mkaishia kuiba na kulipua ile mall[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]
Kuna kisa nimekisoma jana eti askari wa GSU alikuwa anatoka matembezi usiku akiwa na wanawake wawili,ghafla wakatokea majambazi wawili wakiwa na pikipiki wakataka kuwapora akaanza kupambana nao, wanawake wakatimka mbio.

Akampiga teke jambazi mmoja akaanguka chini, mwenzie kuona hivyo akachomoa panga, ehee! Askari mbioo hadi kambini kuwaita wenzie, walivyofika hawakuwakuta ila walikuta meno 2 na wigi wanadhani ni la mmojawapo wa wanawake 2 waliotimua mbio.

Huyu GSU bwana ni mkufunzi komandoo wa hawa askari wa GSU tena ana uzoefu wa miaka 10 hapo chuoni, kilichonishangaza ni kukimbia jambazi mwenye panga, hayo mafunzo yao anawafundisha kitu gani kama silaha baridi namna hii hawezi kukabiliana naye inakuwaje akikutana na mwenye mafunzo na ana bunduki?

Mbona komandoo wetu hawa watu wa namna hii huwa wanacheza nao vizuri tu, tena hata huku kitaa wapo wababe wanawakalisha vizuri tu,tena wawili? Angekuwa raia sawa, askari tena elite soldier?

Wakenya nyinyi ni waoga sana kwenye mapigano, mnatuzidi kufukuza upepo tu kwenye michezo hilo nalikubali.
 
Wazee wa kupasua tofali kifuani na kukanyagana vifuani
View attachment 2238261
Hawa ndio Wenyewe siyo wale wenu GSU tena mkufunzi ametimua mbio kwa jambazi mwenye panga, ni kwasababu hamna mazoezi yenye kuleta uvumilivu na ustahimilivu. Ni aibu kubwa mno Komandoo kumkimbia mtu mwenye panga ,mna mafunzo ya kimdebwedo na kufukuza upepo ndio maana aliweza kutimua mbio mpaka kambini kuwaita wenzake waje wamsaidie.
 
Mda mwingine na ww acha ujinga, katika vyote alivyo beba sufuria ndio kitu umeona au ndio kuonyesha jinsi gani kunya ni njaa kali
Sufuria la nini kwao au vitu vya kupikia kwasbabu watafika mahali na kuiba, nidhamu hovyo kabisaaa.
 
Miti ya Dar haina mpangilio imejiotea tu na kuchanganyika na nyumba, Nairobi kuna eneo maalumu kabisa kwa ajili ya Miti tu nimefika wanaaita Nairobi arboretum, Dar hatuna hata Public Park ya maana Mnazi mmoja imepigwa kufuli ile ya Gymkhana wanacheza Golf!
Unaelewa ulichokisema?
 
Hayo mapanga mtakatajwe na mkisikia risasi wote mnatokomea kusiko julikana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], umesahau wale wazungu walivyo walalamikia wanajeshi wa kikunya wote ni wanariadha sio wanajeshi bada kusalimiwa na alshabab kambini kwenu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nyie ni mafiiii kabisa no wonder ndio chakula pendwa huko
Me nimewapa kisa cha jana kilichomtokea askari wao.
 
Hii Budget kwenye sector za barabara its just shit..mwaka mzima tunajenga lami almost 600km apart from barabara za zege na BRT unless nmesoma vibaya...

Plus nmeona argument yako ya GDP..

Nakumbuka niliwahi kuuliza sana hili swala skyscrapper city forum kuna kipindi %growth ya kenya haikuendana na GDP yao . iliongezeka kama kwa 10billion hivi instead of 6 to 7 billion..i was so suprised ..hizi hizi

Anyways hizi ni projection za IMF Tz GDP is around 71 to 72bil usd ...kama tukienda sambamba na rate ..ya mwaka jana ya 4.8%

77 ni projection ya this year ...

Plus kuna factrors zinazoweza kupeleka rapid GDP growth and thats why i trust data za IMF at point

1.FDI ikikua ghafla na kwa samia FDI tu mwaka jana imekuwa by 5bil usd i think

2.Remitance

3.Oil kupanda au kushuka (mfano angola au nigeria

4.Stability ya Currency against USD incase of Tz Dola imecheza 2300 kwa kama 5 good years our currency is one of most stable in africa..si shangai kwann governor wetu yuko top 3 among the best in africa ..

tuusan @Simba254 Tony254 @ dyfre chongchung View attachment 2238375
Point yangu mkuu ni kipindi cha mwenda zake pamoja na jitiada zote , lakini hawa imf na wb ni kama walikuwa hawa except kinachonfanyika, na tuliongea hapa mwaka jana kwamba kwa style ya mama tegemea GDP yetu kukuwa kwa kasi, point sio kwamba ndio imekuwaa hapana ilisha kuwa ila wao waligandisha kwa makusudi,ndio mana hata hesabu zinagoma, alafu iyo 77bill sio prediction ni outlook ya april, inamana kwa sasa uchumi wetu ni 77 as for april
Screenshot_20220502-170702.jpg
 
Watajulia wapi wenye wakisikia njaa chap kwa mall wanachukua mikate siku imepita, Alshabaab hao wanakuja mbiooo!
Watu wenyewe wanadhani jua linazunguka tu pale kwao unafikiri hata wanajua yanayoendelea maeneo mengine? [emoji1787]

Angalia Number. 44, 45 na 46 vyote ni vifaaa vya Jikoni( Kuhakikisha mkulungwa anapiga msosi popote alipo)

Na huyo ndio the ONLY ONE [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwenye elimu yake.


View attachment 2238303
 
Back
Top Bottom