Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lakini jeshi letu haijaikatwa katwa Kwa mapanga . Are you aware that your army were killed using pangas in DRC?
Hayo mapanga mtakatajwe na mkisikia risasi wote mnatokomea kusiko julikana, umesahau wale wazungu walivyo walalamikia wanajeshi wa kikunya wote ni wanariadha sio wanajeshi bada kusalimiwa na alshabab kambini kwenunyie ni mafiiii kabisa no wonder ndio chakula pendwa huko
 
IMG_7447.jpg
 
alafu mnaokota kodi < ya $10B kwa mwaka Acha maneno kk
Ukusanyaji wa kodi unategemea na taasisi makini ya ukusanyaji kodi, TRA inapoteza karibia asilimia 90% ya kodi inayotakiwa kukusanya kwa mwaka, kwa uchumi wa Tanzania kama TRA itakuwa efficient kwa kutumia njia za kisasa katika kukusanya kodi basi Tz haitategemea mikopo kutoka afdb au mabeberu.
 
Wakunya ninyi mnachakazwa na wavaa kobazi haya mambo hamyawezi

View attachment 2238280

Watu wenyewe wanadhani jua linazunguka tu pale kwao unafikiri hata wanajua yanayoendelea maeneo mengine?

Angalia Number. 44, 45 na 46 vyote ni vifaaa vya Jikoni( Kuhakikisha mkulungwa anapiga msosi popote alipo)

Na huyo ndio the ONLY ONE mwenye elimu yake.


IMG_7450.jpg
 
We mpumbavu kweli, Watanzania wengine wakimaliza primary wanaenda kwenye vocational training colleges, sio wote wanaenda secondary schools

Ndio maana pamoja na hivyo tupo juu yenu kielimu

View attachment 2238269View attachment 2238270View attachment 2238271
Na unasema tu bila aibu vile mkona over 50 % primary school drop out while sisi tunafanya 100% transition. College ni tertiary level na inapaswa kua the next level of education after secondary or high school. hahaha wewe pia ni primary school dropout kulingana na vile hua unatoa hoja za kijinga hapa.


1653487152247.png
 

Attachments

  • 1653487152247.png
    1653487152247.png
    65.4 KB · Views: 12
Watu wenyewe wanadhani jua linazunguka tu pale kwao unafikiri hata wanajua yanayoendelea maeneo mengine?

Angalia Number. 44, 45 na 46 vyote ni vifaaa vya Jikoni( Kuhakikisha mkulungwa anapiga msosi popote alipo)

Na huyo ndio the ONLY ONE mwenye elimu yake.


View attachment 2238303
Akili zao ndogo, kunyaland hawajawahi kupigana vita yoyote, tusiwashangae 😅😅😅
 
Na unasema tu bila aibu vile mkona over 50 % primary school drop out while sisi tunafanya 100% transition. College ni tertiary level na inapaswa kua the next level of education after secondary or high school. hahaha wewe pia ni primary school dropout kulingana na vile hua unatoa hoja za kijinga hapa.


View attachment 2238316
Unajua maana ya dropout lakini?
 
Back
Top Bottom