Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
I can see you don't know the meaning of white elephant.
In Kenya nothing works maana miradi yao mingi hakuna feasibility studies zinazofanyika matokeo yake they keep on creating many white elephants.
Hilo ni tatizo la viongozi wetu, kwa ujumla viongozi wetu ni watu wa kujipendekeza kwa wakubwa zao ili kulinda vyeo vyao, zaidi ya 90% ya viongozi wetu wa ngazi mbalimbali hawana uwezo katika nafasi zao, wengi hutegemea huruma za wakuu wao ili kubaki katika nyadhifa zao, njia pekee ni kujipendekeza na kusifia rais aliyepo madarakani.kama ni hivyo na wana kinga.. kwanin wanamuogopa Rais ambae yupo madarakan.. yan kuongea maovu/ufujaj mali anaofanya huyo Rais.. akiondoka ndo unaambiwa huyu ali fanya hiv na hiv..alipokuwa madarakan hawasemi.. nilijua hawasemi kwasababu anajua Rais atamuondoa
chinnese temple 😂😂 yani hapo ndipo sehemu wachina watachezea kende zenu na kugonganisha gololi mbili
wacha kulia sasa 😂😂😂I can see you don't know the meaning of white elephant.
Inakuwashia nini? Kwani wewe ndio utaitumia?chinnese temple 😂😂 yani hapo ndipo sehemu wachina watachezea kende zenu na kugonganisha gololi mbili
Na ukweli ndio huuu, [emoji116]..ivi unajua hata viwanda vilianzia British, lakini wengine wakafanya copy and peste na kuupgrade...You can't deny facts.
View attachment 2236941View attachment 2236942View attachment 2236943View attachment 2236944View attachment 2236945![]()
Now comes the Chengdu J7G which is a direct copy of the soviet's mig 21View attachment 2236964
Mig 21
View attachment 2236966View attachment 2236967
Chengdu j7View attachment 2236968View attachment 2236969
Ongezea Njombe bus TerminalTanzania biggest,most beautiful and most efficient bus stations👇Dar View attachment 2237097View attachment 2237099View attachment 2237100View attachment 2237101Dom 👇View attachment 2237109View attachment 2237112 Mwanza 👇View attachment 2237113View attachment 2237114View attachment 2237116View attachment 2237121View attachment 2237124Morogoro bus terminal 👇View attachment 2237133View attachment 2237134Mpanda bus terminal 👇View attachment 2237135View attachment 2237136sumbawanga bus terminal 👇View attachment 2237141iringa bus terminal 👇View attachment 2237149Tanga bus terminal 👇View attachment 2237151View attachment 2237155,and the numbers go on.. Beautiful bus stations under construction currently👇
1. Nyegezi bus terminal (Mwanza)
2. Moshi bus terminal (Kilimanjaro)
3. ARUSHA bus terminal (ARUSHA)
Yo kenyas you are allowed to pick a random bus station of ours to compare with your so called ultra modern, state of art, international standard bus station of Green Park
Unadhani training huanza kwa jets?Dah kumbe mna vi fixed wing vya world war 1 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Very ugly building.
Iyo road ni hela hamna ? Mbona iko lonely sanaa
Huyo mbwa huwa tunamuita cartoon, nobody takes him serious.Utaondoka kweli mkuu maana Teagas huwa anaandika kwanza halafu ndio anafikiria baadae [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
hvi nyinyi ni lini mutaacha tabia ya kipuuzi ya kusifia vitu vya uongo😂😂 hvi hamuna habari dunia iko 21st century???wabongo, najua hii ni uchungu sana.😖😖😖 ila mtakuja tu kuzoea
mtanunua tu yenu skumoja. mzidi kushikilia imani.. mtakuja kuonekaniwa..
View attachment 2237387View attachment 2237389