Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

In that case you didnt learn a thing about Tzanian, Last year our GDP were around 65 bill and our growth rate were around 4% kindly explain it to me how did we endup with 77bill as par april this year? Kama sio tuna chezewa hapa .
GDP ya Tz ni $150b, itakapofika 2025 tutakuwa tushagonga $200b hapo ni makadirio ya chini tu mana miradi ya kimkakati itakuwa ishaanza kujibu.
 
Mi nadhani kuna options nyingi tu za kutuwezesha kupima viwanja vya makazi, taasisi na hata viwanda katika majiji na miji ya nchi yetu bila hata kutegemea wahisani au mikopo kutoka nje ya nchi. Kwa mfano, halmashauri za miji na majiji kama sheria inaruhusu zinaweza kuingia ubia na taasisi za kifedha, makampuni au hata watu binafsi (PPP) kwa ajili ya kupima viwanja na kupanga miji yetu. Pia kama utaanzishwa utaratibu mzuri na usiotilia shaka watu wanaweza kulipia viwanja in advance ili kuweza halmashauri za miji au majiji kuweza kupata fedha ili ziweze kupima eneo linalohusika. Sijawahi kuona viwanja vilivyopimwa na serikali vikakosa wateja. Tatazo ni ukiritimba na wizi na kujimilikisha viwanja kwa watumishi wa ardhi wa miji na majiji na baadye kuviuza kwa bei ya juu. NADHANI WATUMISHI WA UMMA WENGI WANAFANYA KAZI KWA MAZOEA WITH NO CREATIVITY AT ALL!
Umeongea point kubwa sana,wanapitia haya maandiko wanaishia kuuma meno kwa hasira na kugonga meza hawatayafanyia kazi labda Rais aseme atawafukuza kazi hapo ndipo utawaona na vitambi vyao wanafoka mate hadi yanawatoka mdomoni utafikiri koboko yuko hatarini. WANAUDHI HAWA WATU SI MCHEZO.
 
Nyie ni wengi kutushinda. Sisi tuna wanafunzi wengi wa shule ya msingi na upili kwa sababu Wakenya wanasoma sana kushinda Watanzania. Huo ndio ukweli japo ni mchungu.
Tumewazidi kdg ila mnazaliana kama nzi ndiyo maana mnatuzidi kwa idadi ya infants, itakapofika mwaka 2030 mtakuwa na population mara mbili ya sisi.
 
You mean toys?
These are bomb diffusing and disposal robots. I don't expect you to know such juu hamna 😂. Hizi huwa mnaona tu kwa Tv.

20220525_132446.jpg
20220525_132450.jpg
20220525_132453.jpg
 
Umeongea point kubwa sana,wanapitia haya maandiko wanaishia kuuma meno kwa hasira na kugonga meza hawatayafanyia kazi labda Rais aseme atawafukuza kazi hapo ndipo utawaona na vitambi vyao wanafoka mate hadi yanawatoka mdomoni utafikiri koboko yuko hatarini. WANAUDHI HAWA WATU SI MCHEZO.
20220524_161319.jpg
 
Huyu Mtanzania alikataa kabisa kukubali kwamba Wakenya tunasoma sana kushinda Watanzania japo idadi ya Wakenya ni ndogo mno kushinda idadi ya Watanzania. Nyie mnazaliana kama panya ila mumekataa kusomesha watoto wenu wote. Hio ndio sababu idadi ya wanafunzi wa Kenya wa shule ya msingi na upili ni ×2 ya wanafunzi wa Tanzania.
Jiulize ikiwa elimu ya msingi na sekondari Tz inatolewa bure na almost 99% ya watoto wote wenye umri wa kwenda shule ya msingi wanakwenda, je inakuwaje mtuzidi idadi ya watoto wanaokwenda shule ilihali kwenu elimu co bure? Yani maana yake kuna wanafunzi wengi wa maskini hawajaenda shule lkn bado mnatuzidi. Mnazaliana sana wallahi
 
Mimi sizungumzii vitu nisivyovijua. Watu wanalipa pesa ili kutumia hili barabara. Mimi naishi Nairobi na wewe huwezi kunifunza mambo ya Nairobi. Hii route ya expressway naitumia sana sasa wewe hunifunzi mambo ambayo ninayafahamu. Wewe jikite kwenye mambo ya Dar is a Slum.
Hebu lete risiti uliyolipa kwa kutumia Xpress way cku ya juzi.
 
Jiulize ikiwa elimu ya msingi na sekondari Tz inatolewa bure na almost 99% ya watoto wote wenye umri wa kwenda shule ya msingi wanakwenda, je inakuwaje mtuzidi idadi ya watoto wanaokwenda shule ilihali kwenu elimu co bure? Yani maana yake kuna wanafunzi wengi wa maskini hawajaenda shule lkn bado mnatuzidi. Mnazaliana sana wallahi
Elimu ya msingi ni bure Kenya. Kibaki alileta elimu ya bure Kenya mwaka wa 2003. Yaani wewe naona hujui lolote kuhusu Kenya.
 
Back
Top Bottom