Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

As Tanzania still struggle to get a military drone to their army, Kenya is already these.​

MC-Horizon 360D anti-drone system​


Kenya-protecting-base-with-MCTECH-MC-Horizon-360D-anti-drone-system.jpg
 
Haiyaa? Ona huyu wazimu? Unaongea matope kuhusu Seychelles the richest country in Africa? Eti hawawezi kuafford services za TZ? Aliyekuroga kafa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wananipinga kwa sababu mimi ni Mkenya. Kwenye hii site Mkenya hata akiandika wazo nzuri atapingwa tu.
Hapana me naona uko sawa,umeongelea kwa mtazamo wa kibiashara zaidi kwa fursa zilizopo katika Ziwa Viktoria na Tanganyika. Ila akina Geza wakaongelea kitaalamu kwanini haiwezekani kutengeneza meli kubwa zaidi.

Kwa mtazamo huo inawezekana kuwa na meli nyingi lakini zisiwe kubwa kama alivyosema Geza Ulole. Mawazo yenu wote me nimeyakubali.

Halafu kukupinga kwamba wewe ni mkenya siyo hivyo, mbona mimi nimekupa like kwamba nakubaliana na wewe? Ni mtazamo tu mmetofautiana wakuu.
 
Wewe keyboard warrior mshamba tulia, you know nothing about drones. Hio wameshika ni zile drone za vloggers. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Ona jinsi unavyo display your stupidity here! Soma tena hapo juu[emoji115]maelezo yako then ujifanyie self evaluation on your thinking capacity.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Haiyaa? Ona huyu wazimu? Unaongea matope kuhusu Seychelles the richest country in Africa? Eti hawawezi kuafford services za TZ? Aliyekuroga kafa.
Halafu nilimaanisha kuwa kuna mambo mengine mnajuana bwana kwenye mikataba ya ulinzi, kwenye weledi na kwenye udhaifu,mimi ni unrogecable mkuu [emoji39][emoji39][emoji39]
 
Here you go again yaani nakashifu kitu Tena unarudia hapo hapo. Hakuna aliye sifia traffic Jam, wanaokimanya Kiswahili nisaidie kueleza huyu. Nasema lazima uelewe mkthadha (context) ya sababu ya dondoo kupostiwa. Kwa mfano hapo niliposti traffic jam Kwa express way kukanya walio kuwa wanasema expressway watu hawatalipia. Na Kwa Sasa watu wanalipia Kwa wingi Hadi inakua Na traffic kinyume Na ilivyo pangiwa
I get your concept mkuu.
 
Back
Top Bottom