Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Wapi ya Tanzania?Nimecheka sana [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2238196
Wapi ya Tanzania?Nimecheka sana [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2238196
Za kwetu ndio hizi hapa. Kenya is the only country in East Africa with this machine.Leta za kwenu tucheke 😂😂
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We kenge kumbe huwa unashinda huku, leo nimekudaka
Angalau mimi nimefika chuo kikuu na sio Kenya tu. Nimesoma hadi nje. Wewe hujafika chuo kikuu na unanicheka.Kwa hiyo kuna kipindi ulisema the only one kumbe ndio yule Jamaa wa MASENO ? 🤣 Duh, noma sana.
View attachment 2238194
Nmeshangaa sana aisee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sychelles capital [emoji116][emoji23][emoji23][emoji23] .. it is said to be a rich country in AfricaView attachment 2238205
Wacha kujiaibisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Za kwetu ndio hizi hapa. Kenya is the only country in East Africa with this machine.
View attachment 2238207View attachment 2238209View attachment 2238211
Ndio the richest country in Africa. Kila mtu ana umeme huko. Karibu kila mtu ana maji. Karibu kila nyumba ina lami mlangoni. Wana highest gdp per capita in Africa. Wako kundi la high income countries. Majengo marefu sio utajiri. Wanaweza kuwa hawana skyscrapers lakini wao ndio matajiri wa Afrika. Hata Europe haina skyscrapers nyingi lakini ni matajiri sana. Usipime utajiri wa nchi kwa urefu wa majengo.Sychelles capital 👇😂😂😂 .. it is said to be a rich country in AfricaView attachment 2238205
Kujiaibisha ni kukosa a very important hardware like that in your country. Na huwa nikisema jeshi lenu ni maskini mnaona vibaya.Wacha kujiaibisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Only a fool can compare the two. Wachana na hawa bongolala hawapendi kuambiwa wako nyuma lakini ukweli haufichiki. 🤣🤣🤣Elimu ya msingi ni bure Kenya. Kibaki alileta elimu ya bure Kenya mwaka wa 2003. Yaani wewe naona hujui lolote kuhusu Kenya.
Robot ya kutegua booby trap!Nimecheka sana [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2238196
Rich kwa vile her banks r safe heaven to Africa's ill gotten/stolen money! Ila wana beach resorts bomba kinoma!Sychelles capital 👇😂😂😂 .. it is said to be a rich country in AfricaView attachment 2238205
Hapo bado hatujaweka meli 2 zinazotengenezwa hivi sasa kwa ziwa Nyasa piaNa isitoshe ununuzi wa meli ni mpango endelevu! Kanchi kana kaziwa kamoja kanawashinda je wangekuwa na maziwa makuu matatu na bandari za pwani ingekuwaje? Ni wivu unamsumbua maana hamna nchi inajitahidi kimiundombinu EAC kama Tanzania!
Wacha kujiaibisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mnazaana hovyo kama panya, ndio maana wengi wenu hamjui kusoma wala kuandikaOnly a fool can compare the two. Wachana na hawa bongolala hawapendi kuambiwa wako nyuma lakini ukweli haufichiki. 🤣🤣🤣
View attachment 2238213
View attachment 2238219
Kunyaland ni failed state kama Yemen, Tanzania mambo ya bombs wapi na wapi?Tanzanian army is one of the poorest armies in Africa. You will never see a bomb diffusing and disposal robots in Tz while in Kenya there are several.
View attachment 2238227View attachment 2238231