Sasa anataka data gani tena au those which are cooked from Kibera?[emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2237883View attachment 2237884View attachment 2237885View attachment 2237886
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Sasa anataka data gani tena au those which are cooked from Kibera?[emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2237883View attachment 2237884View attachment 2237885View attachment 2237886
Hapo nyuma mlikuwa wachache sana kuliko sisi we were almost twice your number but now mnakaribia kutupitaNyie ni wengi kutushinda. Sisi tuna wanafunzi wengi wa shule ya msingi na upili kwa sababu Wakenya wanasoma sana kushinda Watanzania. Huo ndio ukweli japo ni mchungu.
Oya wacha mchezo. Ninezoom sijaona chochote zaidi ya huyo mwanajeshi kabeba ndizi kwenye suite case ya black.
Unachekesha sana we are way ahead of you yetu has been there long time ago.Hahaha nyie hamna lab kama hii ambayo sisi tumezindua miezi miwili iliyopita. Hata sisi hatukuwa na lab ya hali ya juu kama hii. Hebu soma hio article vizuri.
kama umeona basi we c ultaka drones?Hio ndio drone yenu ya kijeshi. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Kwani hao ni kinanani? Kwani wanapika githeri hapo?Hio ndio drone yenu ya kijeshi. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Oya wacha mchezo. Ninezoom sijaona chochote zaidi ya huyo mwanajeshi kabeba ndizi kwenye suite case ya black.
Mimi sizungumzii vitu nisivyovijua. Watu wanalipa pesa ili kutumia hili barabara. Mimi naishi Nairobi na wewe huwezi kunifunza mambo ya Nairobi. Hii route ya expressway naitumia sana sasa wewe hunifunzi mambo ambayo ninayafahamu. Wewe jikite kwenye mambo ya Dar is a Slum.Hapo hakuna malipo, hiyo road ipo kwenye uzinduzi so wanapita bure kuwavutia washamba.
Ni uchaguzi tu.Unaweza kwenda kununua mahitaji yako ukajikuta unaingia duka ambalo halina hadhi kama ambalo liko jirani yake kwa kuwa huna hadhi ya kuingia katika hilo duka lenye vitu classic ambavyo ni bei ghali kwa mfuko wako. Si unajua tena wafu huzikana!??Oya Malazy mnaoidharau Kenya. Serikali ya Ushelisheli imekimbilia Kenya na kuomba msaada wa Directorate of Criminal Investigation (DCI) kuchunguza kesi ya uhalifu iliyowashinda kuchunguza. Mbona serikali ya Seychelles hawakukimbia kwenu kuwaomba msaada?
![]()
Seychelles Govt Hires DCI to Solve Complex Crime Case
The authoritative crime-busting agency has caught the eye of foreign governments.www.kenyans.co.ke
Wewe keyboard warrior mshamba tulia, you know nothing about drones. Hio wameshika ni zile drone za vloggers. 🤣 🤣 🤣Kwani hao ni kinanani? Kwani wanapika githeri hapo?
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Sasa hako ni katoto ka drone. Hakawezi kufanya chochote zaidi ya surveillance. Kuna aina mbili za military drones, surveillance drone na combat drone. Kenya na Tanzania hatuna combat drones japo tuna surveillance drones. Combat drone ni drone inayobeba missiles kama vile Bayraktar TB-2. Ethiopia wanayo TB-2.View attachment 2237939
Ata mie naona ndizi👆😅😅
Siamini hio data.Mnasoma sana kushinda Watanzania yet mpo chini yetu kwenye literacy rate? 🤣🤣🤣🤣
We jamaa akili yako finyu sana yet ndio most learned Kenyan here! 😂😂😂
View attachment 2237911View attachment 2237912View attachment 2237913
Nilitaka nimjibu kama wewe ila nikatumia njia nyingine rahisi sana huenda atakuwa amenielewa.Mambo ya international relations hayaendi hovyo hovyo ukae ukijua hilo haya mambo hufanywa kwa mikataba bilateral you may have agreement kushirikiana na Seychelles kwenye mambo ya security au criminal matters while sisi hatuna nao mkataba kama huo. It is more of a diplomatic gesture than the ability to assist.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Iyo ndo ilikua ndoto ya jpm ila ndo hivyo sasa mwamba kashalala ila mama anajaribu kupita mule mule ila sasa viatu vikubwaJICA ni partners wazuri sana kwenye mambo ya upanuzi wa bandari na kuchora masterplan na kufadhili ujenzi wa bandari. Wao ndio wafadhili wakuu wa Mombasa port. Mna bahati mmepata hawa wafadhili katika port ya Kigoma. Hizi port zenu za Mwanza na Kigoma zinastahili kupanuliwa kabisa kwa sababu bado ni ndogo sana. Pia mnastahili kujenga meli nyingi kubwa kubwa kwenye ziwa Victoria na Tanganyika. Mimi najua mnajenga meli kubwa moja pekee katika ziwa Victoria.
Mnastahili kujenga meli kama tano kubwa ndani ya ziwa Victoria na nne kubwa ndani ya ziwa Tanganyika. Kisha muwashinikize majirani wenu pia wapanuwe port zao. Hio itafanya biashara yenu na DRC na nchi zingine kudouble au kutriple. Potential mnayo kubwa lakini kwa maoni yangu sioni kama mnainvest ya kutosha kwenye upanuzi wa mabandari na ujenzi wa meli kubwa katika haya maziwa mawili. Japo tangu wakati wa Magufuli angalau mumeanza kuivest kwenye inland ports na meli, nadhani kabla ya Magufuli marais wa awali walikuwa wametelekeza ujenzi wa hizi inland ports. Ni maoni yangu tu.
Wewe ndio ungepunguza kiherehere. Ujuwe hio $77 billion ni projection ya IMF ya uchumi wa TZ wa mwaka huu wa 2022. Wewe hukuwa huku tulipokuwa tunajadili hili swala na akina tuusan, pengine hukuwa na pesa ya bundle wakati huo. Kwa hivyo ungekaa kimya tu. IMF ilitoa projection ya 2022 na ikasema by the end of this year, uchumi wa TZ inakuwa projected kwamba itafikia $77 billion.Have you understood his question, or you don't know how real GDP is calculated?. There is nor projection here.
What he has asked is: If Tanzania's GDP last year(2020) was $65B, and it's Economy grew by 4% in 2021, how come Tanzania's GDP is $77B?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mzee naomba hapo ufafanuzi vigezo vinapimwaje, kama hautajali lakini na kwa njia rahisi kabisa ili nielewe.Have you understood his question, or you don't know how real GDP is calculated?. There is nor projection here.
What he has asked is: If Tanzania's GDP last year(2020) was $65B, and it's Economy grew by 4% in 2021, how come Tanzania's GDP is $77B?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Watakua wanamaanisha indirectlyBandari ya Kigoma haihudumii Rwanda! Maana hamna ziwa Tanganyika Rwanda!