Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

When it comes to Pop culture Kenya has not mate in this region. Kwa SSA nchi ni tatu tu zile zikona pop culture imetambulika globally. Kenya, SA na Nigeria. Si kwa ubaya hizo zingine bado ni others.

Image
Sasa hata kama money heist ambayo ni one of the most watched netflix series in the world na hundreds of millions of people wameitazama ina one of the main actress kwa jina "Nairobi" hizi ng'ombe za south zinapata wapi ujasiri wa kushindana na Nairobi kwenye pop culture?
Ndio huyu Nairobi kwa waliotazama money heist 👇 👇 👇
images (3).jpeg
download (2).jpeg
images (2).jpeg
images (8).jpeg
download (3).jpeg
images (6).jpeg
images (10).jpeg
images (11).jpeg


images (12).jpeg
 
Diamond ameshinda award gani kubwa ambayo unaweza kuilinganisha na Oscars? Lupita ndio Mwafrika wa pekee ambaye amewahi kushinda Oscars. Huko USA wanawake weusi chini ya sita ndio wamewahi kushinda Oscars katika historia ya Oscars ya miaka karibu mia moja. Lupita ame-act katika black panther na katika 12 years a slave ambayo ilimfanya kushinda Oscars. Wamarekani wanamjua Lupita na hawamjui Diamond.

Hata wakati will Smith Anamzaba kofi Chris Rock, Lupita alikuwa amekaa nyuma ya Will Smith. Diamond ni taka taka mbele ya Lupita. Lupita ni one of the black movie stars in Hollywood.
View attachment 2227162

View attachment 2227165

Hapa Lupita akisherehekea na Will Smith baada ya Will Smith kushinda Oscar
View attachment 2227170
Waafrika hawamjui Lupita, wewe endelea kuwalamba matako wamarekani

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Waafrika hawamjui Lupita, wewe endelea kuwalamba matako wamarekani

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Pengine Mwafrika mzee anayeishi vijijini kama wewe ndio humjui Lupita kwa sababu huwa hutazami filamu za kisasa kama black panther au star wars. Ila vijana wa kisasa kama mimi huwa tunazama filamu za kisasa. Wewe endelea kujifunza jinsi ya kutumia twitter.
 
Lupita ni raia wa Kenya. Katiba ya Kenya inasema kama baba yako ni Mkenya basi mtoto wake pia ni Mkenya hata ikiwa amezaliwa nje ya nchi. Mtu aki-apply anapewa haraka sana. Tatizo nyie huwa sijui ni ushamba au ujinga. Hii aina ya citizenship inaitwa citizenship by family (jus sanguinis).

Lupita ni Mkenya na ameishi Kenya utotoni mwake. Baba yake hakuishi Mexico kwa muda mrefu. Alirudi Kenya na kuingia kwenye siasa na alirudi na familia yake. Lupita amesomea high school hapa Kenya kwa jina St. Mary's school.
cc chongchung
By the way hio st. Marys ni shule ya upili ambayo Uhuru Kenyatta pia alisomea. Ni shule ya matajiri hapa Nairobi. Jeff Koinange pia alisomea huko.
Huku Tanzania Marais wote waliopita kuanzia Nyerere hadi Samia Suluhu wote wamesoma Shule za serikali, na Celebrities wote wamesoma Shule za serikali, wakati ninyi mkijinasibu ma kundi dogo linaloishi maisha ya kifahari, sisi tunajinasibu na kundi kubwa lenye kuishi maisha halisi ya kiafrika

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Huku Tanzania Marais wote waliopita kuanzia Nyerere hadi Samia Suluhu wote wamesoma Shule za serikali, na Celebrities wote wamesoma Shule za serikali, wakati ninyi mkijinasibu ma kundi dogo linaloishi maisha ya kifahari, sisi tunajinasibu na kundi kubwa lenye kuishi maisha halisi ya kiafrika

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hapa Kenya ni kawaida sana kusomea private schools. Sio lazima tufanane na usilazimishe tufanane. Mimi nilisomea private school katika shule ya msingi. High school na University ndio nilisomea shule ya serikali.

Kenya ni kawaida sana kusomea shule private hususan shule ya msingi. Kwa wale ambao wana pesa sana basi hata high school wanasomea private. Sio lazima tufanane. Kuna hata private university kwa jina USIU ya watoto wa matajiri. USIU kwa urefu ni "United States International University" na Vanessa Mdee mwanamuziki kutoka Tanzania kasomea huko kwa sababu baba yake ni tajiri
download (4).jpeg
images (14).jpeg

images (15).jpeg

na pia tuna Strathmore university ambayo ni private na inaheshimika.
 
ATI kuna mchawi anajaribu kulinganisha Lupita na Diamond.

This is a new movie released this year.

View attachment 2227349

View attachment 2227350
Mchango wa Lupita Kenya na Africa kwa ujumla ni hakuna kitu, wakati Afrika nzima inajua Diamond, na mchango wake kwa Tanzania na Afrika hauna kipimo, ndio sababu wakenya kila siku wanasema ninyi ndio mumemfikisha hapo alipo, Tanzania sidhani Kama watu wameshasikia jina la Lupita

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wacha maneno mengi. Hata mimi huwa sipendi jinsi Diamond anavyowatumia wasichana wetu wa Kiafrika na kuwatupa. Amelala na wanawake wangapi na kuwatupa? Wengine hata amewapa mimba na kuwatupa? Halafu sidhani kama analipia hao watoto school fees wala kuwanunulia chakula wala kuwatembelea. Amezaa na wasichana wa Kenya, Uganda na Tanzania.

Fact inabakia kwamba Lupita is much more successful in terms of pesa au in terms of fame au in terms of tuzo na awards kushinda Diamond. Hata in terms of masomo Lupita amesoma sana kushinda Diamond. Lupita ana masters ya acting kutoka Yale university ambayo ni one of the best universities in the world. Ni mtu mjinga tu anayeweza kumlinganisha Lupita na Diamond.
Wacha maneno yako, hivi unaweza kulinganisha mchango wa Diamond na Lupita katika bara la Afrika na nchi zao walizotoka?. Hivi Lupita ameifanyia nini Afrika au Kenya?.

Nani asiyejua mchangp wa Diamond kwa Afrika hasa EastAfrika na Tanzania?, Leo hii angalau wakenya mumeanza kusikiliza miziki ya Kiswahili na kuanza kuheshimu lugha ya Kiswahili

Wakenya wengi wamekua wakitaka Diamond kuwa karibu na Kenya ili kusaidia na kunyenyua vipaji vya vijana wa Kenya Kama anavyofanya Tanzania, siku zote waKenya humtaja Diamond Kama mwana East Afrika na sio mtanzania, nani anajua Lupita hapa Afrika zaidi ya Kenya na waafrika wachache?. Lupita is for Americans, Diamond is for Africans

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Pengine Mwafrika mzee anayeishi vijijini kama wewe ndio humjui Lupita kwa sababu huwa hutazami filamu za kisasa kama black panther au star wars. Ila vijana wa kisasa kama mimi huwa tunazama filamu za kisasa. Wewe endelea kujifunza jinsi ya kutumia twitter.
Sasa utalinganisha Lupita ambaye hadi uangalie sinema ndio umjue na Diamond ambaye ni "household commodity in Africa?".
?, Wacha maneno yako wewe bwana mdogo

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Huku Tanzania Marais wote waliopita kuanzia Nyerere hadi Samia Suluhu wote wamesoma Shule za serikali, na Celebrities wote wamesoma Shule za serikali, wakati ninyi mkijinasibu ma kundi dogo linaloishi maisha ya kifahari, sisi tunajinasibu na kundi kubwa lenye kuishi maisha halisi ya kiafrika

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Sijawai soma comment ya kijinga kama hii since hii thread ianze. 🤣 🤣 🤣 🤣 Kusoma shule za serikali ndio kuishi maisha ya kiafrika? You need a brain transplant.🤣🤣🤣
 
Wacha maneno mengi. Hata mimi huwa sipendi jinsi Diamond anavyowatumia wasichana wetu wa Kiafrika na kuwatupa. Amelala na wanawake wangapi na kuwatupa?
Hao wasichana wengi ni groupies, wanapata walichokitafuta. kuna vijana wengi ambao ni wasomi na wenye mwelekeo lakini wanawakataa, wanataka vinavyo ng'aa, wakidhani vyote ni dhahabu.
Wengine hata amewapa mimba na kuwatupa? Halafu sidhani kama analipia hao watoto school fees wala kuwanunulia chakula wala kuwatembelea. Amezaa na wasichana wa Kenya, Uganda na Tanzania.
Kuhusu kutelekeza watoto hilo siyo sahihi ila mimi siwezi kusema chochote maana siyafahamu maisha yake binafsi.
Fact inabakia kwamba Lupita is much more successful in terms of pesa au in terms of fame au in terms of tuzo na awards kushinda Diamond. Hata in terms of masomo Lupita amesoma sana kushinda Diamond. Lupita ana masters ya acting kutoka Yale university ambayo ni one of the best universities in the world. Ni mtu mjinga tu anayeweza kumlinganisha Lupita na Diamond.
Binafsi nafurahia mafanikio ya Lupita, mabinti wengi wanamuangalia kama nguzo ya mafanikio.

Kusema kuwa yuko 'successful' sana hiyo inategemea unapima nini. Mtu katoka kwenye familia ya kisomi na inayojiweza, huoni teyari ana msingi wa kupata maendeleo? Huwezi kumfananisha na Diamond aliyelelewa na mzazi mmoja, hata shule ya sekondari hakuweza kumaliza. Hata hivyo aliweza kutoka kuuza mitumba Tandale na leo anamiliki biashara kadhaa, na kuweza kuhamasisha vijana wengi Afrika. Kwangu hayo ni maendeleo makubwa sana.

Usiangalie kimo mtu alichofikia bali angalia shimo alilotokea - Pro Kabudi.
 
Pengine Mwafrika mzee anayeishi vijijini kama wewe ndio humjui Lupita kwa sababu huwa hutazami filamu za kisasa kama black panther au star wars. Ila vijana wa kisasa kama mimi huwa tunazama filamu za kisasa. Wewe endelea kujifunza jinsi ya kutumia twitter.
Hata wabongo wapo wanacheza movie . Soud anacheza movie China huko wala hana kelele
IMG_20220517_090716.jpg
 
Sijawai soma comment ya kijinga kama hii since hii thread ianze. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Kusoma shule za serikali ndio kuishi maisha ya kiafrika? You need a brain transplant.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alafu mko hapa kushindana ubora wa elimu kati ya Tanzania na Kenya, yn Govt schools (Tz) vs Private schools(Kenya).

Elimu ya Kenya ni ya hovyo sn ndiyo maana inazalisha Wakenya wapumbavu kama kina Bwana Mapesa, Choko master, NairobiWalker, na wewe shoga. Elimu yenye u afadhali huko Kunyaland ni ya private na unaweza kuona wakunya waliosoma private kama kina Tony254 wamestaarabika kidogo but wengi wenu mmesoma Govt schools zinazozalisha machokoraa na wahuni.
 
Wenye wanajaribu kulinganisha Lupita with Diamond are mad.

Here are some of the movies acted by Lupita.

Black Panther
Little Zombie
Us
Non-Stop
12yrs a Slave
Star Wars
Queen of Katwe

View attachment 2227219

View attachment 2227220

View attachment 2227221

View attachment 2227222

View attachment 2227223

View attachment 2227229

View attachment 2227232
Usifananishe wabebwa kwa mbeleko na daimond ...huyo lupita ana bebwa na wazungu siyo yeye mwenyewe watz wengi tunasimama sisi kama sisi labda umfananishe Lupita na huyu zuzu wetu sa 100 maana naye anapenda kunusa matakoo ya wazungu sana tu
 
Sijawai soma comment ya kijinga kama hii since hii thread ianze. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Kusoma shule za serikali ndio kuishi maisha ya kiafrika? You need a brain transplant.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe ni mtu mpumbavuSana 90% ya waafrika wanasoma shule za serikali, kusoma private schools hawazidi 2% , Sasa wewe unataka kusema maisha ghali wanayoishi matajiri kuwa ni maisha ya kiafrika?


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom