Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huu msafara wote bado unasafarisha $0.5 billion pekee to Kenya. Pesa kidogo hio ukilinganisha na total import ya Kenya. Hatuwategemei sana kama unavyodhani.
Kwa hiyo Wakenya wenzio walioandika haya hawaelewi ila wewe? 👇

Screenshot_20220514-080641.png


Screenshot_20220514-080702.png
 


Kweli cheo cha umakamu uraisi hamna kazi, maana skuizi mpango kazi yake kutembelea misikiti na makanisa na mazishi

Kwani hujawahi sikia kwamba hicho cheo unakabidhiwa mkasi wa kuzindulia miradi,kuweka Jiwe la msingi na kumuwakikisha Rais..

VP ni ceremonial kwa hiyo usipokaa vizuri na Rais utapanda Sana miti na kushiriki mazoezi .
 
Kwani hujawahi sikia kwamba hicho cheo unakabidhiwa mkasi wa kuzindulia miradi,kuweka Jiwe la msingi na kumuwakikisha Rais..

VP ni ceremonial kwa hiyo usipokaa vizuri na Rais utapanda Sana miti na kushiriki mazoezi .
Wakiondoe tuu hakina kazi ni kama malkia wa uingereza wanakula hela za bure tuu
 
Yote sawa lakini lupita hana any sense of recognition compared to diamond, hana any success in her career compared to diamond as well
Diamond ameshinda award gani kubwa ambayo unaweza kuilinganisha na Oscars? Lupita ndio Mwafrika wa pekee ambaye amewahi kushinda Oscars. Huko USA wanawake weusi chini ya sita ndio wamewahi kushinda Oscars katika historia ya Oscars ya miaka karibu mia moja. Lupita ame-act katika black panther na katika 12 years a slave ambayo ilimfanya kushinda Oscars. Wamarekani wanamjua Lupita na hawamjui Diamond.

Hata wakati will Smith Anamzaba kofi Chris Rock, Lupita alikuwa amekaa nyuma ya Will Smith. Diamond ni taka taka mbele ya Lupita. Lupita ni one of the black movie stars in Hollywood.
download.jpeg


images.jpeg


Hapa Lupita akisherehekea na Will Smith baada ya Will Smith kushinda Oscar
images (1).jpeg
 
Diamond ameshinda award gani kubwa ambayo unaweza kuilinganisha na Oscar? Lupita ndio Mwafrika wa pekee ambaye amewahi kushinda Oscar. Huko USA wanawake weusi chini ya sita ndio wamewahi kushinda Oscar katika historia ya Oscar ya miaka karibu mia moja. Lupita ame-act katika black panther na katika 12 years a slave ambayo ilimfanya kushinda Oscar. Wamarekani wanamjua Lupita na hawamjui Diamond.

Hata wakati will Smith Anamzaba kofi Chris Rock, Lupita alikuwa amekaa nyuma ya Will Smith. Diamond ni taka taka mbele ya Lupita. Lupita ni one of the black movie stars in Hollywood.
View attachment 2227162

View attachment 2227165

Hapa Lupita akisherehekea na Will Smith baada ya Will Smith kushinda Oscar
View attachment 2227170
Kwnn unamuita mu Africa mtu ambaye hajazaliwa Africa? Kama utatumia weusi wake mbona uwasaau kina pdidy, 50cent et al.
 
Back
Top Bottom