joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Wewe ni mtu mpumbavuSana 90% ya waafrika wanasoma shule za serikali, kusoma private schools hawazidi 2% , Sasa wewe unataka kusema maisha ghali wanayoishi matajiri kuwa ni maisha ya kiafrika?Sijawai soma comment ya kijinga kama hii since hii thread ianze. Kusoma shule za serikali ndio kuishi maisha ya kiafrika? You need a brain transplant.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app