Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sijawai soma comment ya kijinga kama hii since hii thread ianze. Kusoma shule za serikali ndio kuishi maisha ya kiafrika? You need a brain transplant.
Wewe ni mtu mpumbavuSana 90% ya waafrika wanasoma shule za serikali, kusoma private schools hawazidi 2% , Sasa wewe unataka kusema maisha ghali wanayoishi matajiri kuwa ni maisha ya kiafrika?


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hata mkwanja pia kampita.
but where the hell on earth can one dare compare a Hollywood LA Star.! a starring figure in films tht are among the highest grossing Movies of all time.! a world renowned Icon.! a winner of the most sort after and coveted award..... The Oscar.!
Screenshot_20220517-091900_Chrome.jpg


with a local East African Bongo Flava kiswahili Artiste..
Screenshot_20220516-145151_Gallery.jpg


somethng must be up with you.. your upstairs must be the matter. i recommend you check a psychiatrist the soonest.!
 
Hapa Kenya ni kawaida sana kusomea private schools. Sio lazima tufanane na usilazimishe tufanane. Mimi nilisomea private school katika shule ya msingi. High school na University ndio nilisomea shule ya serikali.

Kenya ni kawaida sana kusomea shule private hususan shule ya msingi. Kwa wale ambao wana pesa sana basi hata high school wanasomea private. Sio lazima tufanane. Kuna hata private university kwa jina USIU ya watoto wa matajiri. USIU kwa urefu ni "United States International University" na Vanessa Mdee mwanamuziki kutoka Tanzania kasomea huko kwa sababu baba yake ni tajiri
View attachment 2227577View attachment 2227578
View attachment 2227579
na pia tuna Strathmore university ambayo ni private na inaheshimika.
Mtanzania anaesomea hapo Nairobi ambae anaweza kwenda hata kwa mguu na anaweza kulipa ada kwa Tsh unasema ametoka kwenye familia ya kitajiri, na wanaosoma abroad ambao nauli tu ya ndege ni ada ya 2 semesters bado accommodation utasema wanatoka kwenye familia za aina gani?
 
Alafu mko hapa kushindana ubora wa elimu kati ya Tanzania na Kenya, yn Govt schools (Tz) vs Private schools(Kenya).

Elimu ya Kenya ni ya hovyo sn ndiyo maana inazalisha Wakenya wapumbavu kama kina Bwana Mapesa, Choko master, NairobiWalker, na wewe shoga. Elimu yenye u afadhali huko Kunyaland ni ya private na unaweza kuona wakunya waliosoma private kama kina Tony254 wamestaarabika kidogo but wengi wenu mmesoma Govt schools zinazozalisha machokoraa na wahuni.
Hamna hata 100% transition from primary to high school. Bado mkona primary school dropouts in 2022. 🤣 🤣 🤣 Wachana na topics za elimu we soja, ukiwa shule you thought a pen was too heavy, sasa ona unabeba uzito wa rungu kwa airport.
Hakuna public high school in Tanzania inaweza toa performance kama hii.
Image
 
Hii ni jf kweli wtf...
Diamond musicians
Lupita actress
Hawawezi kufanana wala kua kundi 1 hata sku1!!
Influencer wakubwa huku duniani ni musicians
sanaa yenye pesa ni muziki
Hata matajiri wa sanaa wengi ni musicians
Diamond ana potential kubwa kuliko lupita na kama lupita ana $10ml domo kampita kama hawajalingana

By the way tumchukue lupita apa mondi tuwapitishe apo nairobi nani atasepa na kijiji.....
 
Tena hawana dual citizenship kama wakunyaland. Ni mtz pure
Lupita ana uraia wa Kenya na Mexico ila Dna yake ni 100% Kenyan. Lupita ni mweusi hata kushinda wengi wetu hapa halafu hajajichibua ngozi kama Waafrika wajinga wanaopenda kujichibua ngozi ili wawe weupe zaidi. Yeye anapenda ngozi yake jinsi ilivyo na ndio maana mimi nampenda kwa sababu amejikubali na kujipenda jinsi alivyo. Huyu Lupita hana hata chembe chembe cha DNA moja cha Kimexico ndani yake, huyu ni mjaluo pure 100%. Sasa kama hupendi basi kalilie chooni.
download (5).jpeg


download (6).jpeg

download (7).jpeg


Wazazi wake ukiwaangalia unaona tu kwamba wao ni Waafrika 100% pure, hakuna chembe chembe cha Umexico ndani yao. Hawa Wajaluo ndio mnatumia nguvu nyingi kusema kwamba sio Wakenya eti kwamba ni Wamexico? Baba yake ni governor wa Kisumu county sasa hivi tunavyozungumza. Governor ni nafasi nzito sana hapa Kenya, ni kama regional commisioner (RC) huko Tanzania. Kwa hivyo baba ya Lupita ni regional commisioner wa Kisumu county. Tofauti ni kwamba hapa Kenya governor anachaguliwa na watu ila RC huko Tanzania anateuliwa na rais.
download (8).jpeg


download (9).jpeg
 
Hii ni jf kweli wtf...
Diamond musicians
Lupita actress
Hawawezi kufanana wala kua kundi 1 hata sku1!!
Influencer wakubwa huku duniani ni musicians
sanaa yenye pesa ni muziki
Hata matajiri wa sanaa wengi ni musicians
Diamond ana potential kubwa kuliko lupita na kama lupita ana $10ml domo kampita kama hawajalingana

By the way tumchukue lupita apa mondi tuwapitishe apo nairobi nani atasepa na kijiji.....
ni watoto wa shule ya msingi, chekechea na kindergarten ndo mondi ata cross nao ..
 
Wewe soja The best 007 mambo ya elimu wachana nayo kabisa, hadi ile siku mutakua na 100% transition to secondary school. Hakuna vile unaweza compare Kenya ambayo ikona double the number of high school candidates na Tanzania. Bado munadrop out of primary school in 2022. 🤣 🤣 🤣

Yani hamjafikisha hata half a million candidates alafu private schools ndio zinatop performance za secondary schools, na vile mkona kelele za chura.


Mkifika hii level nitafunga account.
 
Hapa Kenya ni kawaida sana kusomea private schools. Sio lazima tufanane na usilazimishe tufanane. Mimi nilisomea private school katika shule ya msingi. High school na University ndio nilisomea shule ya serikali.

Kenya ni kawaida sana kusomea shule private hususan shule ya msingi. Kwa wale ambao wana pesa sana basi hata high school wanasomea private. Sio lazima tufanane. Kuna hata private university kwa jina USIU ya watoto wa matajiri. USIU kwa urefu ni "United States International University" na Vanessa Mdee mwanamuziki kutoka Tanzania kasomea huko kwa sababu baba yake ni tajiri
View attachment 2227577View attachment 2227578
View attachment 2227579
na pia tuna Strathmore university ambayo ni private na inaheshimika.
pia pamoja na hizi private:-

Daystar Uni.
African Nazarene Uni.
KCA Uni.
Aga Khan Uni.
EA Catholic Uni.
St Paul's Uni.
Riara Uni.
Mt. Kenya Uni.
Kenya Methodist Uni.
Zetech Uni.
Amref Uni.
Gretsa Uni.
Presbyterian Uni.
Umma Uni.
Great Lakes Uni.
Baraton Uni.
Kabarak Uni.
 
Back
Top Bottom