kisha wanasema eti diamond ako na career success na hela mingi zaidi shida lupita 👇🏽👇🏽Diamond ameshinda award gani kubwa ambayo unaweza kuilinganisha na Oscars? Lupita ndio Mwafrika wa pekee ambaye amewahi kushinda Oscars. Huko USA wanawake weusi chini ya sita ndio wamewahi kushinda Oscars katika historia ya Oscars ya miaka karibu mia moja. Lupita ame-act katika black panther na katika 12 years a slave ambayo ilimfanya kushinda Oscars. Wamarekani wanamjua Lupita na hawamjui Diamond.
Hata wakati will Smith Anamzaba kofi Chris Rock, Lupita alikuwa amekaa nyuma ya Will Smith. Diamond ni taka taka mbele ya Lupita. Lupita ni one of the black movie stars in Hollywood.
View attachment 2227162
View attachment 2227165
Hapa Lupita akisherehekea na Will Smith baada ya Will Smith kushinda Oscar
View attachment 2227170
Wewe Teargas Hii Habari ya Kenya ku control uchumi wa Tanzania umetoa wapi? Au umetoa kwenu kakamega ?But Kenyans control the economy of Tanzania. Tanzanian transport sector is in the hands of Kenyans cause your buses and lories are assembled in Kenya.
kisha wanasema eti lupita hana career success kama vile diamond👇🏽👇🏽Wenye wanajaribu kulinganisha Lupita with Diamond are mad.
Here are some of the movies acted by Lupita.
Black Panther
Little Zombie
Us
Non-Stop
12yrs a Slave
Star Wars
Queen of Katwe
View attachment 2227219
View attachment 2227220
View attachment 2227221
View attachment 2227222
View attachment 2227223
View attachment 2227229
View attachment 2227232
Success ya Lupita pekee is bigger than all Tanzanian artists combined.
Huyu chongchung huwa mshamba sana. Yeye ameishi Dar is a slum miaka yake yote na hana exposure kubwa sasa anaona kama Diamond ni mungu. Najua hata hajui Lupita ni nani na ndio maana anamdharau.kisha wanasema eti diamond ako na career success na hela mingi zaidi shida lupita 👇🏽👇🏽
View attachment 2227260
Sasa hicho wanachoandamania kina msingi wowote kweli?Shida yenu ni uoga. Yani mtu akisha kalia kiti cha uongozi hapo anakuwa kama mungu. Anaweza wanyea kwa midomo na mnyamaze tu kazi ni kusifia serikali. Ndio maana mna rasilmali kushinda nchi za Afrika Mashariki zote ukiondoa DRC yet kiuchumi mmeshindwa kuiongoza.
Raia wa wapi huyo wewe mnuka mavi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hangaika unavyoweza lkn co mkunya huyo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ile siku utanionesha uraia wake nitaamini.Lupita ni raia wa Kenya. Katiba ya Kenya inasema kama baba yako ni Mkenya basi mtoto wake pia ni Mkenya hata ikiwa amezaliwa nje ya nchi. Mtu aki-apply anapewa haraka sana. Tatizo nyie huwa sijui ni ushamba au ujinga. Hii aina ya citizenship inaitwa citizenship by family (jus sanguinis).
![]()
Jus sanguinis - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Lupita ni Mkenya na ameishi Kenya utotoni mwake. Baba yake hakuishi Mexico kwa muda mrefu. Alirudi Kenya na kuingia kwenye siasa na alirudi na familia yake. Lupita amesomea high school hapa Kenya kwa jina St. Mary's school.
cc chongchung![]()
Lupita was every bit the Cinderella in high school
The Nairobi roots of Hollywood Star and Oscar winner Lupita Nyong’o came alive during a recent visit to St. Marys School, where she honed her skills. Teachers in whose hands Lupita passednairobinews.nation.africa
By the way hio st. Marys ni shule ya upili ambayo Uhuru Kenyatta pia alisomea. Ni shule ya matajiri hapa Nairobi. Jeff Koinange pia alisomea huko.
Heheheheeee mmeanza ku compare Diamond na raia wa nchi za nje [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kisha wanasema eti diamond ako na career success na hela mingi zaidi shida lupita [emoji1427][emoji1427]
View attachment 2227260
Imetengenezwa Kenya hii ikapakiwa kwenye meli inayotoka ulaya zen ikaletwa Tz [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lupita ana uraia pacha. Ni raia wa Kenya na raia wa Mexico. Sasa umekubali kwamba ni raia wa Kenya? Soma hapo chini mahali pa citizenship 👇👇Ile siku utanionesha uraia wake nitaamini.
Did u know that this is owned by the Chinese tycoons for almost 50 years?