ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Kila mtu anajua hii ni photoshop. 🤣 🤣 Hakuna siku kampuni ya Kenya ikatengenezewa bus bongo
Aisee tunatisha.nakuonesha kua unachoongea ww ni uongo na porojo za ukitaka za 2022 hzi hapa [emoji23][emoji116]
View attachment 2227369
Hawa Dar coach wanatisha aisee.ukitaka 2022 zipo usijal [emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2227383View attachment 2227384View attachment 2227385
It all comes down to reporting, we (Tz) are not very good at that.
Well, good for her.Wacha kujitetea. Fact ni kwamba Lupita ana pesa nyingi kushinda Dayamondi wenu.
Cc chongchung
hutaki ukweli au??🤣🤣👇👇Kila mtu anajua hii ni photoshop. 🤣 🤣 Hakuna siku kampuni ya Kenya ikatengenezewa bus bongo![]()
View attachment 2227401
View attachment 2227396
Noma sana mzee [emoji7][emoji7]ukitaka 2022 zipo usijal [emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2227383View attachment 2227384View attachment 2227385
Kabisaa. [emoji122][emoji122][emoji122]Hawa Dar coach wanatisha aisee.
Hapa ni undeniable fact kwamba the most beautiful buses in Kunyaland zimekuwa assembled Tanzania! Na graffiti tumewachorea!
What a beautyDid u know that this is owned by the Chinese tycoons for almost 50 years?
Ni kweli Diamond hajashinda tuzo inayofanana na Oscar, ila Lupita kushinda Oscar haimaanishi kuwa yeye ni bora. Huwa kuna siasa fulani zinatumika kuwatuzu wanasanaa weusi wanapotimiza matakwa fulani. Denzel Washington amekuwepo Hollywood toka 70's, hawakumpa tuzo mpaka alipolalamika kuwa anachaguliwa mara nyingi lakini hashindi. Ndipo, kuondoa aibu wakampa kwenye Training day (2001).Wacha mchezo. Wewe nakujua kama an intelligent person. Nimeuliza Diamond amewahi kushinda award gani yenye hadhi ya Oscar? Ni kiswahili huelewi au nini? Diamond ameshinda award gani ambayo ni comparable to oscar in terms of prestige?
Boflo 😅😅😅
Wacha maneno mengi. Hata mimi huwa sipendi jinsi Diamond anavyowatumia wasichana wetu wa Kiafrika na kuwatupa. Amelala na wanawake wangapi na kuwatupa? Wengine hata amewapa mimba na kuwatupa? Halafu sidhani kama analipia hao watoto school fees wala kuwanunulia chakula wala kuwatembelea. Amezaa na wasichana wa Kenya, Uganda na Tanzania.Ni kweli Diamond hajashinda tuzo inayofanana na Oscar, ila Lupita kushinda Oscar haimaanishi kuwa wewe ni bora. Huwa kuna siasa fulani zinatumika kuwatuzu wanasanaa weusi wanapotimiza matakwa fulani. Denzel Washington amekuwepo Hollywood toka 70's, hawakumpa tuzo mpaka alipolalamika kuwa anachaguliwa mara nyingi lakini hashindi. Ndipo, kuondoa aibu wakampa kwenye Training day (2001).
Lupita amekuja juzi tuu lakini wamemtuza baada ya kufurahisha watu fulani alipocheza zile sinema za watumwa (12 year slave). Kuna baadhi ya wazungu huwa wanapenda kuziangalia hizi sinema ili kuhuisha zile hisia za superiority. Tatizo, wamarekani weusi huwa hawapendi kuzicheza hizo filamu, na huwa zinaibua hisia kali kwenye jamii yao ambazo wazungu huwa hawapendi ziibuke. Hivyo, kupunguza huo moto, huwa wanawatumia weusi ambao siyo kizazi cha utumwa.
Muulize Lupita alishinda Oscar category gani?Ni kweli Diamond hajashinda tuzo inayofanana na Oscar, ila Lupita kushinda Oscar haimaanishi kuwa wewe ni bora. Huwa kuna siasa fulani zinatumika kuwatuzu wanasanaa weusi wanapotimiza matakwa fulani. Denzel Washington amekuwepo Hollywood toka 70's, hawakumpa tuzo mpaka alipolalamika kuwa anachaguliwa mara nyingi lakini hashindi. Ndipo, kuondoa aibu wakampa kwenye Training day (2001).
Lupita amekuja juzi tuu lakini wamemtuza baada ya kufurahisha watu fulani alipocheza zile sinema za watumwa (12 year slave). Kuna baadhi ya wazungu huwa wanapenda kuziangalia hizi sinema ili kuhuisha zile hisia za superiority. Tatizo, wamarekani weusi huwa hawapendi kuzicheza hizo filamu, na huwa zinaibua hisia kali kwenye jamii yao ambazo wazungu huwa hawapendi ziibuke. Hivyo, kupunguza huo moto, huwa wanawatumia weusi ambao siyo kizazi cha utumwa.