Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Make up imekolea hapa vizuri sana. Baada ya muda hizi picha zitakuja zimepauka, takatka kila mahali. Mjitahidi mzitunze mkitupa uchafu hapa zibadilisha taswira ya muonekano na kuwa ugly.
Hii ni private road kwa sasa. Contractor mwenyewe ana majukumu ya kuilinda na kuitunza. Tegemea usafi wa barabara hii ubakie kama ulivyo sasa. Serikali ndio huwa careless kwenye kumaintain vitu ila private sector huwa wapo serious.
 
we used to only see with admiration these kind of views on tv when kibaki or moi visited south africa, but today i can say with pride tht am witnessing these scenic unimaginable sophisticated views, righthere at home in our own soil.! congrats to uhuru and kibaki.!

sasa kenya ni ughaibuni kwa macho ya nchi mingi barani africa 😍😍
Screenshot_20220515-144816_Gallery.jpg
Screenshot_20220515-144357_Gallery.jpg
 
Kuna County moja juzi ndio kwa mara ya kwanza wamepata lami na several 4 lanes meters zimekatisha kwenye kamji kao ikawa talk of the region,

Wakaanza kubrag mambo ya devolution and blah blah blah wakati Tanzania tuna unpopular towns with great road standards lakini zipo kimya tu

Hapa wakenya nataka mjifunze mambo makuu matatu,
1 ni street lights kwenye barabara zenu
2 beautification of trees along your street
3 planing

Shinyanga though ni unpopular town lakini inaweza kukalisha miji mikubwa Kenya kwenye hizo hints 3 muhimu

 
Watanzania wazidi kuaminika Duniani..

Huyu hapa Mtanzania aliyeshinda udiwahi London..Juzi ijumaa alikuwa live Azam Two akihojiwa..

Hivi kuna Mkenya amewahi hata kuwa mjumbe wa Mtaa huko Ughaibuni? 👇

View attachment 2225313
Kimsingi huyo sio Mtanzania ibaki kuwa mwenye asili ya Tanzania,Japo ni makaratasi yanamfanya awe mwingereza.
 
we used to only see with admiration these kind of views on tv when kibaki or moi visited south africa, but today i can say with pride tht am witnessing these scenic unimaginable sophisticated views, righthere at home in our own soil.! congrats to uhuru and kibaki.!

sasa kenya ni ughaibuni kwa macho ya nchi mingi barani africa 😍😍View attachment 2225622View attachment 2225618
Na mtu bado anashangaa why Tanzanians call Nairobi half London.
 
Kuna County moja juzi ndio kwa mara ya kwanza wamepata lami na several 4 lanes meters zimekatisha kwenye kamji kao ikawa talk of the region,

Wakaanza kubrag mambo ya devolution and blah blah blah wakati Tanzania tuna unpopular towns with great road standards lakini zipo kimya tu

Hapa wakenya nataka mjifunze mambo makuu matatu,
1 ni street lights kwenye barabara zenu
2 beautification of trees along your street
3 planing

Shinyanga though ni unpopular town lakini inaweza kukalisha miji mikubwa Kenya kwenye hizo hints 3 muhimu


Jengeni barabara kwanza ndio uanze kuongelea mambo ya paved roads. In 2022 the total number of paved roads in Tz is still below 10,000km.
 
we used to only see with admiration these kind of views on tv when kibaki or moi visited south africa, but today i can say with pride tht am witnessing these scenic unimaginable sophisticated views, righthere at home in our own soil.! congrats to uhuru and kibaki.!

sasa kenya ni ughaibuni kwa macho ya nchi mingi barani africa View attachment 2225622View attachment 2225618
Hii picha imepostiwa mara 1000 eneo hili hili, ila hapa hawapaoneshi. Daily dosage they will never show you
Screenshot_20220510-202046.jpg
 
Hii ni private road kwa sasa. Contractor mwenyewe ana majukumu ya kuilinda na kuitunza. Tegemea usafi wa barabara hii ubakie kama ulivyo sasa. Serikali ndio huwa careless kwenye kumaintain vitu ila private sector huwa wapo serious.
Sio serikali bwana Tony, usijaribu kuukimbia ukweli kwamba Wakenya wana asili ya kutopenda usafi.
 
Itawachukua miaka 50 kufika level ya Tanzania kwenye mtandao wa barabara
Huwa nacheka sn wanapoanza kujilinganisha na Tz kwenye mtandao wa lami, yn Kenya ishindane na Tz kwenye mtandao wa lami? Nchi kubwa mara mbili ya kanchi kao na bado miji yote inafikika kwa lami alafu uje ulinganishe Tz na Kenya kwa kuangalia vi data vya miaka 20 iliyopita
 
Back
Top Bottom