Kuna County moja juzi ndio kwa mara ya kwanza wamepata lami na several 4 lanes meters zimekatisha kwenye kamji kao ikawa talk of the region,
Wakaanza kubrag mambo ya devolution and blah blah blah wakati Tanzania tuna unpopular towns with great road standards lakini zipo kimya tu
Hapa wakenya nataka mjifunze mambo makuu matatu,
1 ni street lights kwenye barabara zenu
2 beautification of trees along your street
3 planing
Shinyanga though ni unpopular town lakini inaweza kukalisha miji mikubwa Kenya kwenye hizo hints 3 muhimu