Serikali inabidi iweke appropriate guidelines za kuwafanya wakae kwenye mstari.Halafu huwa wananiudhi sana, yaani badala wafanye research za maana kama uchumi, diplomasia, mazingira yetu na rasilimali zake zilizopo, vivutio vya utalii,miundombinu kuvutia wawekezaji wako busy kufuatilia maisha ya watu kama ulivyosema.
Kuna baadhi ya waandishi hawajui mlima Kilimanjaro uko mkoa gani watakwambia upo mkoa wa Moshi, wengine wanakwambia mkoani Bukoba badala ya Kagera, ni waandishi na wamesomea.
Lugha ni Kiswahili lakini angalia sarufi ilivyokosewa, makosa ya kimantiki kibao hata taarifa haieleweki. Hasa hawa bloggers ndio shida zaidi.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app


