Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Manzee umeniua na kicheko 😂
Hizo picha za ngamia jamani kwanza hii hapa 👇 👇 👇
1652277863837~2.jpg

😂 😂 😂
 
Mtu kama huyu mnampa video konki see how Ubungo Bus Terminal converted into a Beautiful BRT Bus Depot

Hii mijamaa ilivyo mifalamagamba inaweza ikajifariji hakuna drainage waangalie sidewalks kila baada ya hatua kadhaa kuna mifuniko!!!hutoona maji machafu na mitaro kuzibaziba hovyo ngoma iko chini kwa chini.
 
Mwarabu ichoboy01 mpwa wa Rostam siku hizi amejikita kwenye Ukraine vs Russia war venye aliona TZ imeshashindwa kwenye hii battle yetu.
mwenyekiti nimerudi naona nikiwa sipo munakosa raha kabisa 😂😂 tulia dawa ikuingia kwanza hii battle mulishashindwa mapema sana kinachofanyika ni kuonesha umma kua tanzania iko mbali sana
 
Hii merry go round inapiga full rotation na dakika moja kama gurudumu la pikipiki, ndio ichoboy01 huita Ferris Wheel ya Dar es salaam.🤣 🤣 🤣
Iron Firris wheel, Rs 968000 /piece Step 21 | ID: 23511240562
hvi kati ya tanzania na kenya ipi nchi ya kwanza kua na ferris wheel? hebu niambie hapa na ukidanganya tu nakuwashia moto 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom