The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
If you are seeing poverty there,what can you call this from Kibera? 👇I'm seeing poverty all over that picture.
If you are seeing poverty there,what can you call this from Kibera? 👇I'm seeing poverty all over that picture.
Wakunya akili ndogo sana, na wakaamini 😂😂😂😂Zipo nyingi sana, zinatengenezwa Kenya alafu zinapakiwa kwenye meli kubwa kutokea ulaya zen zinaletwa TzView attachment 2220532View attachment 2220533
Umetaja mdomo wa bata?Hamna lolote, wewe ni wivu unakusumbua tu.
😛 😛 😁
Wewe hiyo sura ya mbele ndiyo inayo kusumbua?? Quality haipimwi na hiyo sura. Bali services and amenities. Regardless their faces, both have the same qualities.
Tunaweza kuagiza hicho kichwa chenye mdomo wa bata muda wowote ule.
Umetaja mdomo wa bata?
View attachment 2220636
View attachment 2220638
View attachment 2220639
View attachment 2220641
View attachment 2220643
Hiyo treni yenu ina mdomo wa ngamia
View attachment 2220645
View attachment 2220647
View attachment 2220648
View attachment 2220651
View attachment 2220653
Hahaha. Sasa kama kwenye sura ya train Morocco imewashinda, unategemea mtawashinda kwenye quality ya service na amenities??? Aiseee ile bangi mnavuta huku sijui imetoka Gabon au wapi.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 naishaaaaa eti mdomo wa ngamia.Umetaja mdomo wa bata?
View attachment 2220636
View attachment 2220638
View attachment 2220639
View attachment 2220641
View attachment 2220643
Hiyo treni yenu ina mdomo wa ngamia
View attachment 2220645
View attachment 2220647
View attachment 2220648
View attachment 2220651
View attachment 2220653
simple draining system like 👇
![]()
is missing!
No wonder Nairobi terminus had floods majuzi!
👇🤭
![]()
I was thinking that one is a meli, kumbe the terminus is sinking.







.Kabisa, ukanda na ukabila ni vitu ambavyo vinawasumbua sana hawa watu.Kweli sana brother wenzetu hata huny wana dharauliana simply mtu ametoka pande fulani au kabila fulani emu Tony254 nini maaana ya kehe maana kuna jamaa mmoja mkenya aliitwa hilo jina na mwenzake daaah jazba zilimpanda sana!
Hahaha kwa hivyo taste yenu ndio mbaya? Hamna taste nyinyi watu. Kwa hivyo mna pesa ya kununua mdomo wa bata ila mumeambulia kununua mdomo wa ngamia eti kwa sababu hio ndio taste yenu? Sema tu kwamba hamna mfuko. Morocco na Senegal wana mfuko wa kutosha na ndio maana wananunua mdomo wa bata. Nyie tunawajua ni masikini wa South hamna mfuko.Sura wala haijatushinda. It's just a matter of choice and preference.
Hapo kila mtu kachagua sura yake kulingana na mapendezi yake.
Hahaha kwa hivyo taste yenu ndio mbaya? Hamna taste nyinyi watu. Kwa hivyo mna pesa ya kununua mdomo wa bata ila mumeambulia kununua mdomo wa ngamia eti kwa sababu hio ndio taste yenu? Sema tu kwamba hamna mfuko. Morocco na Senegal wana mfuko wa kutosha na ndio maana wananunua mdomo wa bata. Nyie tunawajua ni masikini wa South hamna mfuko.
Kitu gani kimekufanya usitambue kwamba hyo ni tram.1. Bullet train ya Uchina
View attachment 2220571
2. Mtungi wa konyagi wa Tanzania
View attachment 2220575
Ofcz unaweza kuita overpass, pia hapo kutakuwa na BRT from Mbagala all the way to kkoo, hapo kutakuwa na view moja ya hatari sana.kaka hii sio overpass (magari juu treni chini)? magari nayo yatapishana kwa level tofauti?
Mbona hujiamini, Tangu lini Tz ikawa na njaa, ulisikia wapi.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Niendelee ama niachie hapo?
Onesha Bagamoyo port mahali ipo chini ya jua hili la Mungu.Is that 11 more than Bagamoyo?
Or I'm I missing something.
Kweli mkuu ni ngumu kukosa msaada ukiwa ndani ya nchi hii, tuna upendo sana.Hii yote ni juhudi za wazee wetu kutanguliza utu na ubinadamu ili kujenga undugu ambao tunauishi leo hii.Hawakuwa wabinafsi.Mkuu, yaani ulivyoielezea nchi yangu Tanzania hivyo, nikasisimuka na kutokwa na machozi. Ukitembea kila kona unakutana wanakupenda kana kwamba ni ndugu zako.
Kwa vijana, wanapata wachumba popote bila kupata kipingamizi kutoka kwa wazazi wa pande zote. Yaani ni full shangwe.

, baada ya kuitwa kaka.Hii ndio hulka na desturi ya Mtanzania.Those Kiberians have Electricity 24/7, something that can't be said of 70% of Tanzanians.
Barabara yenyewe haipo leveled 😂😂simple draining system like 👇
![]()
is missing!
No wonder Nairobi terminus had floods majuzi!
👇🤭
![]()
Kabisa na inapendeza kila siku
Una ujasiri wa kutosha kwa hiki unachopost?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Niendelee ama niachie hapo?