Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mm hata siielewi haya mapicha picha, mm nilikua namjua hyundai rotem tuu huyu sung shin sijui katokea wapi ila kwa kusema ukweli mkuregenzi wa TRC ni mswahili sanaa
Huyu alipewa mabehewa ya Mizigo tu kwenye SGR.hizo behewa za MGR sijui contract but for SGR mkataba uliotangazwa ni Behewa za mizigo
 
maslahi ya huyu mtu wenu 😂😂👇

Fala wewe,ona huku 👇

IMG-20220511-WA0077.jpg
 
Back
Top Bottom