Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa Tanganyika ya ujamaa ni nchi ya kuiga kwa lolote!? Sema exposure yako ndio iko chini bongolala. You think life revolves around Tanganyika alone. This is a tradition that happens in many countries around the world. Nelson Mandela was treated the same way by South Africans when he died. Sasa na wao pia mliwaiga?
View attachment 2205604View attachment 2205605View attachment 2205606
Hii kasumba ya inferiority complex sijui itawatoka lini!
Hayo mazishi ya Mandela ni tofauti na mazishi ya viongozi wetu, angalia style yake ni tofauti, ila mazishi ya Kibaki mmetuiga kabisa hilo halipingiki.
 
Hayo mazishi ya Mandela ni tofauti na mazishi ya viongozi wetu, angalia style yake ni tofauti, ila mazishi ya Kibaki mmetuiga kabisa hilo halipingiki.
Tumewaiga kwa lipi? Be more specific. Elezea kwa undani tumewaiga kwa jambo lipi katika mazishi ya kibaki. Leta mpaka na picha. Mimi nikuletee picha ya mazishi ya Jomo Kenyatta 1978 kukuonyesha kwamba sisi tuna tamaduni hii kuanzia 1978. Leta picha Obama tuende kazi.
 
Tumewaiga kwa lipi? Be more specific. Elezea kwa undani tumewaiga kwa jambo lipi katika mazishi ya kibaki. Leta mpaka na picha. Mimi nikuletee picha ya mazishi ya Jomo Kenyatta 1978 kukuonyesha kwamba sisi tuna tamaduni hii kuanzia 1978. Leta picha Obama tuende kazi.
Jomo Kenyatta c mlitumia style ya China.
 
FB_IMG_16512952073123448.jpeg

FB_IMG_16512952354851709.jpeg

FB_IMG_16512952234370405.jpeg
 
Congo ipo chini ya Tz miaka mingi sana, wanatusikiliza cc kwa kila kitu, rais wa Tz anaongoza pia na Congo.
Ni kweli Congo wapo chini yenu ndio maana Rais wa Congo amekuja Kenya mara mbili mwezi huu na rais Uhuru alikuwa DR Congo siku mbili zilizopita.
 
Ni kweli Congo wapo chini yenu ndio maana Rais wa Congo amekuja Kenya mara mbili mwezi huu na rais Uhuru alikuwa DR Congo siku mbili zilizopita.
Hivi mwenyekiti wa EAC kwasasa ni nani?, hebu jaribu kufuatilia kipindi cha Joseph Kabila (DRC haijajiunga na EAC), mara ngapi alitembelea Kenya na mara ngapi alitembelea Tanzania

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom