babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,907
Wananyukana wenyewe kwa wenyewe ndio uzuri
Kumbe wanafahamu kuwa Tanzania haiuruhusu omba omba barabarani.
Wananyukana wenyewe kwa wenyewe ndio uzuri
Kawawa road etcMorogoro road,new bagamoyo road, kilwa Road, nyerere road,Mandela Road, Sam Nujoma road...
Tembea uone acha kujificha hapo kiberaNa zote hakuna hata moja ikona footbridge au signage.
That is the main artery ya kuingia na kutoka DSM unawezaje kuifunga isitumike?!!!!!!Hii ni excuses tu. Mbona magari yanapita kama iko under construction?
Barabara zote zilipopita brt zina footbridge matata sana na bado those roads ambazo brt bado zina modern footbriges za kutoshaHalafu Dar kuna footbridges chache sana. Kama umenotice. Ushamba mwingi tu.
Hiki kinakaa kama kiwanda cha kuzalisha umeme kutumia gesi. Nimepata au nimekosea?


hii nayo ni kali sana mzee.. so mtindo ni ule ule wa rupurupu, yani kugusa mshahara hapana, inabaki tu palepale kwenye benki milele.. hehe., karibu sana kwenye hili jukwaa masera..
c/c The best 007
View attachment 2206034
yeah mshahara hatugusi mkuu
.. ila sio poa kudownload pesa za watu kutoka mtandaon 


Kama Ndii ni opposition na huyo Kamau aliyekuwa anampinga Ndii nae ni wa wapi ruling party? Lakini baada ya kutoka kibera he saw a new world different than what he perceived earlier. Uko msemo wa kiswahili usemao "Tembea uone"Hawa ni watu wa opposition, sahii tunaelekea uchaguzi. Maongezi kama haya ni kawaida wakati huu wa campaign. Kwa ground JNIA ni trash hata markings haina.
Sijaongelea Burundi pekee soma vizuri utakuta kuna Burundi, Rwanda, Congo na Uganda huwezi dharau haya masoko na fursa za biashara zilizopo huku wewe pambana na Somalia na Ethiopia huko South Sudan humwezi Uganda kashamkamata kusawasawa ndio maana priority ya Uganda kwenye reli ni up north to south sudanUnatutisha na Burundi hii moja yenye gdp ya $3 billion?
Naona "umekula vitabu sana" kama tunavyosema huku Kenya.hapana. mim ndo nipo gas power plant.. (ila actually tunafanya maintenance kwenye gas power plant ya hiko kiwanda) .. hiko kiwanda tunapofanya side hustle za maintenance services kipo maeneo ya tazara (jina kapuni)![]()
🤣 🤣 🤣Yes, wakuje bench marking waone highway.Tembea uone acha kujificha hapo kibera
Aliyetoka Kenya na Kuja Tanzania lazima kwanza akutane na reality check. Mambo ya historia na propaganda zikizoanzia shuleni lazima ziwe shaken off mtu akifika Tz.Opposition wakati kila kitu kinaonekana?
Hawa nao ilikuwa kipindi cha kampeni!
Mzee barabara kubwa za DSM hata kabla ya BRT hiyo kimara kibaha high way zilikua ni four lanes pamoja na hizo feeder roads ilpokuja BRT system zikatoka four lanes to six Lanes(the additional of two dedicated lanes for BRT), barabara ni six Lanes mzaee hii hapa morogoro road 👇six lanesbut swali la maana kwangu ni....... how many lanes on average.?? coz kama sio atleast 6 hakuna kitu tunaongea
Yes that one bongolalaWhich Nyeri the one people living in grain silos?
NjaaAlafu misiba yao iko empty haina watu cz raia wamechoshwa kwa njaa, hawako interested na viongozi wao.





The same UN bodies you dispute their reports everytime they place Kenya ahead of your shithole country ama zingine?Even those UN bodies which ranked Tanzania highly and Kenya poorly on political stability are blind?. The problem of people are thought Tribalism within their families by day one after their birth days is to think all other people behave like them
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Morogoro road 6 lanes, Bagamoyo road 9 lanes, Kawawa road 6 lanes, kilwa road 6 lanesbut swali la maana kwangu ni....... how many lanes on average.?? coz kama sio atleast 6 hakuna kitu tunaongea
What a lame excuse! mmejaza jiji lenu na uswazi mkiona wengine wakipost nyumba za maana mnatafuta pa kutorokea. Endeleeni na tamaduni yenu ya Swahili hovels we don't even careMbona tunazo nyingi tu wewe unajua majeshi yetu yanaishi wapi ? Hizo kota tunazo nyingi tena nyingi sana
Bongolala, wacha kujilazimisha kwa mtu ambaye hakuthamini. Shirika la ndege la Congo has 14 flights per week between Kinsasha and Nairobi. Sasa wewe hapa unajigamba na safari tatu kwa wiki. Huoni wewe ni mjinga?