Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1652288583964.png
 
Tanzania's wannabes

Dwarfs as your thinking capacities

View attachment 2220628

View attachment 2220631
You are comparing Tanganyika's tallest structure with a simple building in South C!!?! Hata huna aibu bongolala.

And then this mentality that we copy you mlitoa wapi? Twin towers zipo pembe zote za dunia so why do you think we would stoop to low to copy you lazybones if at all we copied something? Does it mean that you also copied the concept of a Twin tower? Nauliza hivyo coz by the time mnajenga hii yenu twin towers exited in many other countries. Ujinga wenu ni wa kuridhi!!!
 
Kama umewahi kuskia "white elephant " Sasa ndo hii
😂 😂 😂 😂 😂
Jiulize maswali sana bongolala

 
Kuna Battle la Kenya vs Uganda linaendelea huko twitter kutumia hashtag #KenyaVsUganda. Sasa kuna Mkenya kasema kwamba Watanzania wangependa kushiriki katika hilo battle ila hawaelewi kiingereza. Nakuambia Watanzania wamekasirika kwenye comment section.
 
Kuna Battle la Kenya vs Uganda linaendelea huko twitter kutumia hashtag #KenyaVsUganda. Sasa kuna Mkenya kasema kwamba Watanzania wangependa kushiriki katika hilo battle ila hawaelewi kiingereza. Nakuambia Watanzania wamekasirika kwenye comment section.

Ni vita ya majobless kenyans vs jobless ugandans.. check mlivyo majobless wengi
 
Huyo
Kuna Battle la Kenya vs Uganda linaendelea huko twitter kutumia hashtag #KenyaVsUganda. Sasa kuna Mkenya kasema kwamba Watanzania wangependa kushiriki katika hilo battle ila hawaelewi kiingereza. Nakuambia Watanzania wamekasirika kwenye comment section.

Huyo alieandika 'Tanzania's want to join.....' yeye nae anajua Kiingereza?!
Nimeishi na Wakenya na Waganda nje ya Afrika wengi wana Kiingereza kibovu tu
 
Huyo
Huyo alieandika 'Tanzania's want to join.....' yeye nae anajua Kiingereza?!
Nimeishi na Wakenya na Waganda nje ya Afrika wengi wana Kiingereza kibovu tu
Si bora wewe umekutana nao huko nje.Pitia border ya Mulongo(Karagwe tz) na mkoa wa Mbarara(upande wa Ug) pale kuanzia Kikakati mpaka Mbarara mjini ni Kinyankole tu ukiongea Kiingereza wengi hawakuelewi.
 
Back
Top Bottom