Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We call this lack of skills, no wonder Tz leads EA in number of registered professional engineers, we cant tolerate this stupidity at all.View attachment 2209973
Mchina ana mdharau sana mkunga , kwenye fly over mpya ya Chang'ombe wameweka drainage system nzuri sana . Sikupiga picha tu. Well organized drainage system . Mtu akipita pale apige picha kuonyesha kuwa wachina wanawaona wakunya wajinga
 
Aaaaahhhh au niko nchi ingine.

Upo hapo hapo wala hauko nchi nyingine
Screenshot_20220503-154548.jpg
 
Mbona uliyoweka hapa hukusema Nunga ila umeweka majina ya kuzungu ama ni kasumba ndio inakusumbua.
Ni makosa nikiweka jina la kizungu? Ukiongea hivi mtu hawezi jua una jina la kizungu. Kwanza Watanzania mna hii tabia ya kujiita majina mawili ya Kiingereza bila jina la kiafrika Sana.🤣🤣🤣

Anyway, kukueleza tu, Kiingereza ni lugha ambayo iko developed kuliko Kiswahili ndio maana Mambo yanapokuwa ya kina au deep Sana mengi inabidi mtu atumie Kiingereza. Kwa mfano, kuna aina nyingi za duiker zote ni 22 - kuna blue duiker, Mt. Kenya Duiker, common duiker etc. Lugha ya Kiswahili zote ni duiker. Ukitaka kutofautisha inabidi utumie Kiingereza.
 
Kenyan Embassy in Dar es Salaam
View attachment 2209817View attachment 2209818
On the other hand, Tanzanian High Commission in Kenya is located on the 9th floor of this office building in central Nairobi
View attachment 2209814
View attachment 2209826
I don gerrit
Tanzania hawana pesa ya kununua plot Nairobi, usiwacheke. By the way Uganda wana embassy kwenye compound yake. Hata Somalia wana embassy ndani ya compound yake. Lakini lazy bones wanajaribu kujenga skyscraper Nairobi na hata kujenga embassy imewashinda wamebaki kurent 9th floor ya Reinsurance plaza.
 
Huyu muhindi analalamika kwa uchungu kwamba Bangladesh ambayo ilikuwa nchi masikini sana miaka kumi iliyopita sasa imeipita India kwa per capita income.
Wahindi wanazaliana sana alafu wanabaguagana sana yani tajiri hachangamani na fukara...ni ajabu mtu kama Mukesh Ambani kua na utajiri wa zaidi ya $100B na yule Gautam Adan kua na utajiri wa $100B kwenye nchi ambayo per capita inacheza $2000 Ni upuuzi....wajifunze kwa wachina,wale jamaa wanachapa kazi sio mchezo
 
The one and only 3 tire interchange in EA, wengine wanaungaunga wanasema nao cku hz wana 3level interchange, yn road imepitishwa juu kilazima ili ku force 3tier

Wallahi mchina anajua kula pesa za nyani, hii ndio the real three level interchange, it was a three level since it was on paper up to it's completion.
Screenshot_20220423-071639.jpg
 
Mimi I am happy coz gdp per capita ya Kenya inapanda very fast. Sasa hivi iko $2,200 na nakumbuka by 2013 ilikuwa around $1,200. So in less than 10 years imeongezeka almost double. No other country in Africa, per capita yake imeongezeka faster than ya Kenya in the last 10 years.
Tony ukuje kwa ndugu zako
 
Ghana inaexport gold nyingi hata kushinda SA. Ghana is Africa's biggest exporter of gold. Halafu pia wanaexport crude oil 200,000 barrels per day.
Lakini tumewapiku kwa gdp kwa sasa na iyo ndio ilikua kiu yetu...inawezekana wakati wao wameegemea huko sisi na sector zingine tunapaa...kama bidhaa za viwanda,Mazao mifugo nk
 
Back
Top Bottom