Shida yangu sio kupatikana kenya au wapi we have those animals only in Africa why wazungu wawape majina yao na sisi tukubali tuu. Ndio maana nikasema tutafakari hili kidogo.Hivi vile Simba ana jina la kizungu lion inamaanisha anapatikana England ama unajaribu kusema nini? Ama vile Dar es Salaam ina jina la kiarabu inamaanisha inapatikana uarabuni?![]()



