dopchinski
JF-Expert Member
- Mar 11, 2021
- 3,387
- 3,683
nakuru directly from GoogleStreetView
Sipendi vile mnataka kuelewana !mbona mnataka kumaliza Battle mapema na ata express way bado haijaanza kufanya kaziHatuchikiani bhuana, nyie ni ndugu zetu kabisa, sema tatizo ni hii mipaka ya wazungu. Battle la maendeleo ni zuri inasaidia kupush kila mmoja wetu fazeee [emoji38]
Hiyo ni Cargo flight sio passenger, punguza ujingaYes inaenda Eldoret kama tu KQ, Ethiopian na Etihad. Unapinga kama nani?
![]()
Emirates SkyCargo resumes scheduled cargo flights to Eldoret International Airport
ELDORET, Kenya, Jun 3 - Emirates SkyCargo, the freight division of Emirates has announced the resumption of its scheduled cargo services to Eldoret. The Kenya breaking news | Kenya news today |www.capitalfm.co.ke
![]()
AhahahaahaaaSipendi vile mnataka kuelewana !mbona mnataka kumaliza Battle mapema na ata express way bado haijaanza kufanya kazi
Tena ukiangalia mwisho wa prediction we are real closing ukiangalia 2027 ni 121+bil against 155+bil, tuki fanya implementation nzuri ya mipango yetu Tz ipo kweny njia nzuri, namini tutafik mapema km serikali na wananchi kutakuw na mipango shirikishi ya kiuchumiprojection tu in 2025
[emoji1241]$102B vs [emoji1139] $135B
we really need to plan and implement the best strategic development projects to speed up the growth of our economy. we can close this gap
View attachment 2208995
View attachment 2208996
Tupe jina la make and model ya hiyo Limo.Yes tunatengeneza limousines.
Limousines zipi? Hizo hata 10 hazifiki?Yes tunatengeneza limousines.
![]()
Ilikuwa kazi ya Meles Zenawi hiyoHata nimeshangaa kwamba uchumi wao ulikuwa licha ya wao kupigana vita kikali vya kuharibu mali. Vita hivyo viliharibu mashule, mahospitali na kadhalika. Siamini hii data ya Ethiopia.
Unajua wewe dogo hujui vitu vingi sana wewe cheza na test tube zako tuu huko useparate serumThe problem with you unaongelea what you are not sure of. Sasa ukiambiwa to provide the evidence of what you are saying will do it?
Embu pitia hiyo link utoe matongotongo kwanza na uache ubishi wa kishamba.The problem with you unaongelea what you are not sure of. Sasa ukiambiwa to provide the evidence of what you are saying will do it?
blogs.lse.ac.uk
You better so as to optimize loans to GDP ratio and create room for more borrowing.we ll be rebasing too
Ukiwa unatupia hizi dozi uweke na kale kibanda cha tozo basi ili dozi iingie sawasawa.
The gap is a non starter mpaka hapa tulipo maisha ya mtanzania mmoja mmoja ni bora sana ukiconpare na wao.projection tu in 2025
[emoji1241]$102B vs [emoji1139] $135B
we really need to plan and implement the best strategic development projects to speed up the growth of our economy. we can close this gap
View attachment 2208995
View attachment 2208996
Mimi I am happy coz gdp per capita ya Kenya inapanda very fast. Sasa hivi iko $2,200 na nakumbuka by 2013 ilikuwa around $1,200. So in less than 10 years imeongezeka almost double. No other country in Africa, per capita yake imeongezeka faster than ya Kenya in the last 10 years.huu mwaka sijabambika aky!. ati kenya now at no.7.!! at 114b only! me i had projected about +120b.. have we stagnated! ama bado ni ripple effects za corona.?? hivi angola imetoklezea na wapi?. ama ni story na mafuta jili ya ukraine russia war.!??🤔 but will it be sustainable in the years to come.?? hio speed ya ethiopia nayo.!?, yani 105b frm 93b ivo tu.! na tz nayo no.9! wame add aje 10b! within no tyme?. as in, we are now only separated by 1 country... ethiopia............🤔 damn it.!
think we should up our game this year else...
View attachment 2209322View attachment 2209323View attachment 2209324View attachment 2209325
Hakuna mnyama yeyote ambaye yupo Kenya akakosa kuwepo Tz ila kuna wanyama wapo Tz huwezi kuwapata dunia nzima.Grevy's Zebra. Only found in Kenya and Ethiopia.
![]()
Northern White Rhino zimebakia mbili tu duniani na ziko Kenya.Hakuna mnyama yeyote ambaye yupo Kenya akakosa kuwepo Tz ila kuna wanyama wapo Tz huwezi kuwapata dunia nzima.