Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bus terminals za Nairobi, cjui wanapata wapi ujasiri wa kujilinganisha na Tz.View attachment 2210070View attachment 2210071View attachment 2210072View attachment 2210073
Angalia number plate wewe. Hii picha sio ya Kenya. Hapa Kenya number plate ya nyuma huwa na rangi ya manjano. Kwa hii picha yako hayo magari yana number plate ya nyuma yenye rangi nyeupe na maandishi ya samawati.
1651591452933.png
 
Unaweza kuona elevated section ya express way ya mchina ilipoanzia na kuishia View attachment 2210079
PHOTOSHOP
Huwa hatubabaishi kwenye miradi, ona wapumbavu kazi zao, no wonder wanapiga picha za upande upande Screenshot_20220503-154548.jpg

TZ mnapenda fictions, fantasies and lies..
Elevated section sio 8km, thika road under construction, Tz is not a $150b economy and the expressway image is photoshoped 😅😅😂😂
 
Yani Uganda gdp bado sana lol...anyway waingie LMIC's hili block letu la EAC lin'gare zaidi
Wakianza kuzalisha mafuta hutaamini macho yako. Gdp yao itakuwa kwa kasi sana bora pesa ya mafuta isiibiwe na wanasiasa.
 
Hapo ni Jo'burg. Yani kulingana naye, juu ya hiyo Mbezi station eti sasa Dar imeishinda Jo'burg.🤣🤣🤣

The best 007 yaani unacheka watu wa Johannesburg ukidhani unacheka watu wa Nairobi? Huyu jamaa leo kachanganyikiwa sana. Halafu kumbe johannesburg pia ina maeneo yaliyoparara hivi? Hii ni evidence kwamba hakuna mji barani Afrika ambayo haina maeneo yaliyochakaa.

1651592489875.png
 
Back
Top Bottom