Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Image
Hiki ndicho kitu mnakiweza, uongo uongo tu but on ground [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20220416-092548.jpg
 
Sasa hizi taasisi za wazungu usipotumia pesa kununua kitu unaambiwa wewe ni masikini unaishi chini ya dola moja kwa siku.

Mfano vijijini unakuta mtu ana nafaka zake, amepanda mboga mboga na anafuga kuku tena wa kienyeji, akitaka mboga anachinja kuku anapika na anachota zake unga ndani anasonga ugali au mchele anapika wali halafu taasisi ya wazungu inakuja kukuambia ni masikini na anaishi chini ya dola moja!
Hata ukiacha kuchinja kuku, kwa ss hata vijijini hakuna mtz anayeishi chini ya Dollar 1 kwa cku, labda waadzabe ambao most of them hawatumii pesa.
 
We nae unampa attention huyo mpumbavu? Humu mpk wenzake wanamuona kituko, tangu lini Watz wakanunue buses kenya, yani wao watengeneze buses ambazo hawatumii uliona wapi? Tz iko mbali sn upande wa ma bus huwezi kulinganisha na nchi yoyote hapa Afrika labda kdg SA, na buses nyingi zinatoka China directly na zinaletwa kwa meli. Ss bus itoke Kenya alafu ipakiwe kwenye meli ili wavumbue nn?
Soja wewe nyamaza. Buses za Tz karibu zote zinatoka Kenya. That's a truth that you can't deny.
 
Tatizo lenu ni uchafu, hyo mitaa uliyoweka ambayo kila siku mnapost hiyo hiyo ni michafu kupita maelezo, hata wewe mwenyewe umeshawahi kuchukua post yangu ya humu jukwaani ukaipeleka twitter ukilia kuhusu uchafu uliopitiliza. Mnachofanya ni kuweka lipstick zen mnapost, huo ni upumbavu ndio maana on ground hamtoacha kulilia mitaa ya wenzenu tuliostaarabika [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mitaa safi ya wenzetu waliostaarabika
images (69).jpeg
images (68).jpeg
images (67).jpeg
images (65).jpeg
woman-removing-garbage-from-the-streets-of-dar-es-salaam-tanzania-A68DYG.jpg
images (63).jpeg
images (64).jpeg
images (66).jpeg
 
Back
Top Bottom