Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa kipi cha ajabu mnachofanya? Tanzania inabadili prado kuwa vx v8 kitu ambacho kitawachukua centuries
Tunaunda magari za Tanzania 😂

JamiiForums870023966.jpeg


Screenshot_20220418-194156_1.jpg
 
Mkosa akili bila aibu yupo bize kujadili FDI ya Tanzania wakati ya nchi yake inapungua kwa speed kali, ifike mahala yule mzungu aliyeondoka na akili za wakunya awarudishie.

In 2020, FDI to East Africa dropped to USD 6.5 billion, a -16% decline from 2019. FDI to Kenya decreased by -34% to USD 717 million, compared with USD 1.098 billion in 2019 FDI to Uganda decreased by -35% to USD 823 million, compared with USD 1.3 billion in 2019. However, FDI to Tanzania sightly increased to USD 1.0 billion in 2021 from USD 991 million in 2019.

IMG_1363.jpg
 
Mkosa akili bila aibu yupo bize kujadili FDI ya Tanzania wakati ya nchi yake inapungua kwa speed kali, ifike mahala yule mzungu aliyeondoka na akili za wakunya awarudishie.


In 2020, FDI to East Africa dropped to USD 6.5 billion, a -16% decline from 2019. FDI to Kenya decreased by -34% to USD 717 million, compared with USD 1.098 billion in 2019 FDI to Uganda decreased by -35% to USD 823 million, compared with USD 1.3 billion in 2019. However, FDI to Tanzania sightly increased to USD 1.0 billion in 2021 from USD 991 million in 2019.

Read more at: FDI Archives

View attachment 2198435
FDI from Kenya.
 
Acha utoto wewe,hajaenda USA kwa ajili ya Biden bali kwa ajili ya Royal tour na kukutana na wafanyabiashara na Wakuu wa WB/IMF

Kwani ukiwa Rais ndio huwi Raia wa kawaida? Tzn ni nini kwa US?

Acha Rais afanye mambo ya msingi ya kutafuta wawekezaji, mfanyabiashara gani wa Taifa kubwa atahangaika kukutana na Waziri kwenye Nchi za Afrika?

Dangote kwa miaka yote akija Dar huwa anakutana na Kikwete, Magufuli na Samia ,hakuna cha Waziri wala Balozi..

Hata Rais alipoenda Dubai na Egypt alikutana personally na wafanyabiashara wakubwa na matunda tuliyaona..

Nchi za kiafrika ni maskini na hazina sera za kutabirika so ni lazima wapate uhakika kutoka kwa Rais sio Waziri,,Bilionea hawezi msikiliza Waziri ..

Chapa kazi Rais wanaobeza wataona matokeo baadae kama tuu ambavyo kwa mwaka mmja amewashangaza Sukuma gang and the likes wenye akili ndogo za kujitutumua wakati ni useless..

View attachment 2197656

View attachment 2197657

View attachment 2197658

View attachment 2197659

View attachment 2197660

View attachment 2197669

View attachment 2197670
SSH mawazo yake makubwa sana kwahyo wanaohojihoji fuatilia na uwezo wao utagundua kitu...kuvuta wawekezaji ndio jambo la msingi na kufungua fursa zingine...Wanadhani ni sahihi sana Raisi kujificha Ikulu akikwepa gharama za kusafiri
 
Teargas alinibishia bila data nikaona ninyamaze since ukweli haujifichi. Na hii ndio ishara tosha BOT ikiamua kusimamia vyema financial business utagundua TZ iko mbali sana kuliko yeyote hapa EAC
Usipindishe ukweli mambo ya benki kenya wanatuzidi sana.
 
Back
Top Bottom