What is Pakistan?Of course after Kunyaland imitated Pakistan!
What is Pakistan?Of course after Kunyaland imitated Pakistan!
Takwimu za zamani 👆🏿takwimu za kitambo ata za sahizi bado zaonesha kenya ingali iko mbele kabisa katika hii sekta
View attachment 2197896
Jealousy ni ya nini msee? 😂😂Huo ni uchafu mzee na ni ushambaa, hivi wewe kwa mfano gari yako ya ku bang kitaa unaweza kuifanya hivyo..pisi gani utaibeba labda ukabebe mabwabwa ya Kimombasa. Kubalini tuu sanaa hamuijui Pokots wakubwa nyie
Google ni part of Nairobi International Finance Center. Alafu sasa kuna uwekezaji wa viwanda which is under Special Economic Zones amabazo infrastructure tayari zinajengwa in Mombasa and Naivasha while Kisumu in is at an advance stage. Yani we are killing two birds with one stone. Mukipiga hatua moja mbele sisi tunapiga tatu mbele.Hvi wakenya mnafananisha uwekezaji wa gugu wakujenga ofisi na huu wa kongani ya viwanda kwala 🤔 sipati picha, annual revenue ni around 6 Billion $ na zaidi hii ni kwala tuu bado kigambonii industrial park ya mmsri na iyo ya mmarekani inayokuja yajayoo yanafurahisha mjiandae kifkra majirani
Sahizi hapa tunapoongea GDP ya Tz ni $150bn, waki rebase itagonga $170bn, mwaka 2025 tutakuwa kwenye 200s.Tanzania waki rebase next year baada ya sensa itafika above 100bn
Kwa viwango vyako hapa ni pasafi sio? Kweli nyie watu wachafu sn.Nionyeshe street Safi kama hii Dar. Mark the word, street, not highway, not Avenue.![]()
Kwa viwango vyako hapa ni pasafi sio?Nionyeshe street Safi kama hii Dar. Mark the word, street, not highway, not Avenue.![]()
wazungu wamepata zuzu mpya kutoka tz baada ya ZelenskyAcha utoto wewe,hajaenda USA kwa ajili ya Biden bali kwa ajili ya Royal tour na kukutana na wafanyabiashara na Wakuu wa WB/IMF
Kwani ukiwa Rais ndio huwi Raia wa kawaida? Tzn ni nini kwa US?
Acha Rais afanye mambo ya msingi ya kutafuta wawekezaji, mfanyabiashara gani wa Taifa kubwa atahangaika kukutana na Waziri kwenye Nchi za Afrika?
Dangote kwa miaka yote akija Dar huwa anakutana na Kikwete, Magufuli na Samia ,hakuna cha Waziri wala Balozi..
Hata Rais alipoenda Dubai na Egypt alikutana personally na wafanyabiashara wakubwa na matunda tuliyaona..
Nchi za kiafrika ni maskini na hazina sera za kutabirika so ni lazima wapate uhakika kutoka kwa Rais sio Waziri,,Bilionea hawezi msikiliza Waziri ..
Chapa kazi Rais wanaobeza wataona matokeo baadae kama tuu ambavyo kwa mwaka mmja amewashangaza Sukuma gang and the likes wenye akili ndogo za kujitutumua wakati ni useless..
View attachment 2197656
View attachment 2197657
View attachment 2197658
View attachment 2197659
View attachment 2197660
View attachment 2197669
View attachment 2197670
wakunya mkiona hiyo flyover nsjua hamuogopi ila mnachotakiwa kuogopa kwa hiyo flyover ni kwamba kukamilika kwake ni kukamilika kwa BRT FALSE 2 ....Sasa hivi mtasikia brt false 2 imeanza Tony254 usije sema hatu kukuambiaUhasibu Flyover progress.. qualityView attachment 2197673View attachment 2197674View attachment 2197676View attachment 2197677View attachment 2197678
mombasa kuna maji?Mombasa is far much better than Dar in all aspects expect BRT.
View attachment 2198242
View attachment 2198243
View attachment 2198245
View attachment 2198246
View attachment 2198247
Phase 2 au phase 3 mzee. Phase 2 tayari iko u/c.wakunya mkiona hiyo flyover nsjua hamuogopi ila mnachotakiwa kuogopa kwa hiyo flyover ni kwamba kukamilika kwake ni kukamilika kwa BRT FALSE 2 ....Sasa hivi mtasikia brt false 2 imeanza Tony254 usije sema hatu kukuambia
Usisahau kuwaambia kwamba hapo chini inapita BRTUhasibu Flyover progress.. qualityView attachment 2197673View attachment 2197674View attachment 2197676View attachment 2197677View attachment 2197678










Huyo shida yake kubwa ni kusahau sahau, ameshasahau kama tulikuwa tunazungumzia SGR from Dar to Moro kwamba ndiyo ilikuwa full funded by GoT. Wkt mwingine muwe mnamsanehe tu.Dar -Moro hakuna mkopo.
Moro-Makutopora tulipata mkopo ikiwa tayari ujenzi umefika asilimia 25 na kila Mtanzania anajua humu, tatizo lako kubwa ni ukondoo.
View attachment 2197830