Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We ng'ombe unakoelekea utasema mpaka hii TV program ilianzishwa na mkunya 🤣🤣🤣🤣

Caveman at his top notch 😆

View attachment 2198305

View attachment 2198306
Just don't infect me with your foolishness.

1650271983888.jpg
 
Tony anasema wao wameanza miaka ishirini iliyopita? Mwaka 2000s?? Kuna wakulungwa wa Manila Phillipines na Jeepney zao wameenza baada ya Vita ya pili ya Dunia.

View attachment 2198352
Ni sawa na kusema wamevumbua internet 🤣

Unless pimping a car ni neno la Kikunya lakini kama ni English, wao ni washamba tu kwenye hizo anga 😞😒

Screenshot_20220424-080938.png
 
Wa Thailand wanafanya kwenye gari ambazo zimetengenezwa specifically for Passenger Transportation, wao kwenye Magari ya mizigo , jionee tofauti.
Na finishing yao ni epiq huwezi kufanananisha na mafindofindo ya kina fidodido 🤣
 
Hahaa yule jamaa Mkenya ikabidi tumtaftie ka manzi ka Kinondoni ndo kakaanza kumkataza kukaa kishamba na kuvaa manguo na ma viatu ya kishamba. Hawa jamaa sjui ni vp wanazidiwa hata na Warundi kwa Swag
Wao gikomba ndipo chimbo lao kuu la nguo, wakati Tanzania kila baada ya hatua 1 unakutana na boutique au fashion shop ya kibabe.

Mpaka high rank persons wanavaa kama madereva boda 🤣

Huu upumbavu sijui waliutoa wapi!

images - 2022-04-24T082143.927.jpeg


images - 2022-04-24T081916.574.jpeg


images - 2022-04-24T082049.681.jpeg


images - 2022-04-24T081902.774.jpeg
 
Sahizi hapa tunapoongea GDP ya Tz ni $150bn, waki rebase itagonga $170bn, mwaka 2025 tutakuwa kwenye 200s.
hivi jiulize, kama unadhani kwamba uchumi wa tanzania unaweza kua kubwa shinda ile ya kenya, mbona basi unakuta kua kenya kwa siku zote inaipiku tanzania karibu kwenye kila takwimu (+95%), tunazo ziona humu.?
nb: having a larger gdp means sophistication in almost anythng and everything.... mfano SA in africa and US in the world
 
Nyinyi mlishindwa kufanya graffiti mkabakia na kuweka stickers which are not even attractive.
Sasa kipi cha ajabu mnachofanya? Tanzania inabadili prado kuwa vx v8 kitu ambacho kitawachukua centuries
 
Back
Top Bottom