Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Eastlands ni 5 Embakassi constituencies, Kamkunji na Makadara constituencies. Kuanzia Kamkunji and goes all the way to ruai and utawala boarder on the Eastern Bypass.
Si ndo hii hpa? Haizid 30km²
Screenshot_20220421-183003.jpg


Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Uzalishaji wa saruji kwa Afrika mashariki na Kati
Tanzania namba 1

View attachment 2197575
hakuna takwimu tanganyika inaweza ipiku kenya.. hii data hata siiamini, source ni gani..? kenya is home to cement production

a cement plant in a little known home county of kericho in terms of industries is a clear testimony of how cement production is lucrative in kenya 👇🏽
Screenshot_20220423-154633_Chrome.jpg
i took this photos myself
20220411_174500.jpg
20220411_174458.jpg
20220411_174503.jpg
 
am just hearing from some east african economic scholars that the late kibaki's brilliant and wise leadership, helped ignite and spur a sustained economic growth not only of kenya, but the entire east african community including tanzania to date.!

may our messiah rest in eternal power..

View attachment 2196938
R.I.P mwana taaluma mwenzangu kwenye Economics..😭😭

Ulitafsiri Elimu yako ya Uchumi kwa vitendo
 
wakenya ni maboya sana ,kuna mshamba mmoja alisema kuwa ooh sisi ujenzi wetu ckassic tunafuata slope na ndiyo inayotiririsha maji ,ooh sisi hayuweki mabomba
20220423_154843.jpg


Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Kenya miaka ya nyuma angalia historia alikuwa na uchumi mdogo kuliko Tanzania wakati Tanzania ni giant wa ku export coffee, sisal , cotton , cashew

Kwa takwimu hizo za imf ni muda mfupi tutarudi sehemu husika .
Bado kodi haikusanywi kila sekta ya biashara .
Tanzania ni sleeping giant
kabisa

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
yaani kuna mahali pakubwa sana anakwama ,hayo mambo ni ya mawaziri wa sanaa,
Raisi amekuwa cheap president kuonekana onekana hovyo kwenye nchi za watu kiasi cha kwamba anaonekana mzururaji tu anahaibisha sana wadhifa wa uraisi,tokea aende huko kashindwa hata kuonana na president mwenzake biden hii inaonyesha how is fool ,

SSH amekuwa kama Raia wakawaida kwa huko USA,hii imekaa vibaya sana wanaomshauri wanamchoresha tu

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Acha utoto wewe,hajaenda USA kwa ajili ya Biden bali kwa ajili ya Royal tour na kukutana na wafanyabiashara na Wakuu wa WB/IMF

Kwani ukiwa Rais ndio huwi Raia wa kawaida? Tzn ni nini kwa US?

Acha Rais afanye mambo ya msingi ya kutafuta wawekezaji, mfanyabiashara gani wa Taifa kubwa atahangaika kukutana na Waziri kwenye Nchi za Afrika?

Dangote kwa miaka yote akija Dar huwa anakutana na Kikwete, Magufuli na Samia ,hakuna cha Waziri wala Balozi..

Hata Rais alipoenda Dubai na Egypt alikutana personally na wafanyabiashara wakubwa na matunda tuliyaona..

Nchi za kiafrika ni maskini na hazina sera za kutabirika so ni lazima wapate uhakika kutoka kwa Rais sio Waziri,,Bilionea hawezi msikiliza Waziri ..

Chapa kazi Rais wanaobeza wataona matokeo baadae kama tuu ambavyo kwa mwaka mmja amewashangaza Sukuma gang and the likes wenye akili ndogo za kujitutumua wakati ni useless..👇

Screenshot_20220423-153633.png


Screenshot_20220423-125812.png


Screenshot_20220422-211508.png


Screenshot_20220419-132728.png


Screenshot_20220416-181437.png


20220423_125737.jpg


255714837373_status_2526c330bfb94b0a82c74db7a70bade1.jpg
 
hakuna takwimu tanganyika inaweza ipiku kenya.. hii data hata siiamini, source ni gani..? kenya is home to cement production

a cement plant in my little known home county of kericho in terms of industries is a clear attest of how cement production is lucrative in kenya 👇🏽View attachment 2197645View attachment 2197617View attachment 2197618View attachment 2197619View attachment 2197646
Hii battle tulishamaliza bablai, mtumie Tony254 kama reference alikula kichapo hapa mpaka akaomba poo .. Tz is no 1 likija suala la cement production,hivi vijiviwanda vyenu haviwezani na maviwanda makubwa ya Tz
 
Back
Top Bottom