The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
Mtamuelewa tuu SSH ♨️♨️..Haya ndo mambo sasa tunataka kuskia
Na haya je 👇
Mtamuelewa tuu SSH ♨️♨️..Haya ndo mambo sasa tunataka kuskia
Kuhusu cleanness Dar ni namba brathee, waulize ndugu zako waliowahi kufika Bongohizi ni picha nimepiga now kwa simu yangu no makeupView attachment 2197782View attachment 2197785View attachment 2197787View attachment 2197789View attachment 2197792View attachment 2197795

filthy Nairobi at day light...
maji ya chooni hayo!Pabichi muda wote halafu hawana Maji.
Hiyo inaitwa vintage Nairobi fahari ya wakunya 😀
this is NairobiNionyeshe street Safi kama hii Dar. Mark the word, street, not highway, not Avenue.🙂🙂
this is Nairobi
Duu hawa jamaa mbona wanachafua mabasi yao hivi na marangi rangi! Yaan kulitazama hilo gari tuu kichwa kinauma, ukilipanda sasa na miziki ile ukishuka si unakua mahututi kabisathis is Nairobi
Only in Dar utapata kibanda ya kuuza chips next to a sky scrapper with offices kama hapo frame 1.Kuhusu cleanness Dar ni namba brathee, waulize ndugu zako waliowahi kufika Bongo 👇hizi ni picha nimepiga now kwa simu yangu no makeupView attachment 2197782View attachment 2197785View attachment 2197787View attachment 2197789View attachment 2197792View attachment 2197795
That's our Urban Culture, yenye watu wa Arusha hutamani sana kucopy.Duu hawa jamaa mbona wanachafua mabasi yao hivi na marangi rangi! Yaan kulitazama hilo gari tuu kichwa kinauma, ukilipanda sasa na miziki ile ukishuka si unakua mahututi kabisa
Kawe equivalent to the whole Nairobi siioni hapo? 🤔
Kaulize mtanzania mwenzako, hio sio simu yangu na sijawahi download jf app 😅😅😅😂😂😂
hii ni kali sana babkubwa.! 💥🔥🔥🔥 nuclear power plant ka hii, ni vitu tanganyika wataionea tu cnn ama al jazeera1😆
Hautambui art...alafu mziki ikishakuwa kelele kwako ujue ni uzee, usijali ukifika Nairobi kuna matatu zilizotulia pia, ila ziko slower,wazee kama wewe na geza mtapendaDuu hawa jamaa mbona wanachafua mabasi yao hivi na marangi rangi! Yaan kulitazama hilo gari tuu kichwa kinauma, ukilipanda sasa na miziki ile ukishuka si unakua mahututi kabisa