Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Usipindishe ukweli mambo ya benki kenya wanatuzidi sana.
Hujui lolote na sina haja ya kukuelewesha, Mwanaume mzima unatoa facts kwa kusikiliza majigambo? Nipo kwenye financial institutions tokea namaliza chuo, technologies tunazotumia TZ kwenye financial institutions hakuna wa kucompare hapa EAC isipokua maneno ya mtandaoni ndio watu wanaamini ujinga
 
Screenshot_20220424-102658_Gallery.jpg
 
Hujui lolote na sina haja ya kukuelewesha, Mwanaume mzima unatoa facts kwa kusikiliza majigambo? Nipo kwenye financial institutions tokea namaliza chuo, technologies tunazotumia TZ kwenye financial institutions hakuna wa kucompare hapa EAC isipokua maneno ya mtandaoni ndio watu wanaamini ujinga
Kwani kua kwenye financial institution inabadili nn?Wewe unajua mambo ya Tz au taasisi inayokuhusu zaidi hapa hatuzungumzii uzalendo tunazungumzia uwezo nani anauwezo zaidi,stick on agenda
 
Kwani kua kwenye financial institution inabadili nn?Wewe unajua mambo ya Tz au taasisi inayokuhusu zaidi hapa hatuzungumzii uzalendo tunazungumzia uwezo nani anauwezo zaidi,stick on agenda
Yaani wewe hata sikuchukulii serious, hunaga facts za maana kazi yako kulialia na uzalendo kama mzamiaji vile. Aliekufanyia mabaya msamehe kwanza then utaanza kuwa timamu. Kula ushibe, shughuli yako ngumu
 
Yaani wewe hata sikuchukulii serious, hunaga facts za maana kazi yako kulialia na uzalendo kama mzamiaji vile. Aliekufanyia mabaya msamehe kwanza then utaanza kuwa timamu. Kula ushibe, shughuli yako ngumu
Acha uswahili bro niambie bank namba moja tz inamtaji kiasi gani alafu compare na bank namba moja ya Kenya. Porojo mingi za kazi gani hii sio udaku section
 
Acha uswahili bro niambie bank namba moja tz inamtaji kiasi gani alafu compare na bank namba moja ya Kenya. Porojo mingi za kazi gani hii sio udaku section
Nlishaelezea hii point usinipotezee muda dogo, rudi post za nyuma kasome
 
Tanzanian Pimped aeroplane na pesa za nadani
 

Attachments

  • Screenshot_20220424-082327.jpg
    Screenshot_20220424-082327.jpg
    29.6 KB · Views: 16
  • Screenshot_20220424-082327.jpg
    Screenshot_20220424-082327.jpg
    29.6 KB · Views: 17
Acha utoto wewe,hajaenda USA kwa ajili ya Biden bali kwa ajili ya Royal tour na kukutana na wafanyabiashara na Wakuu wa WB/IMF

Kwani ukiwa Rais ndio huwi Raia wa kawaida? Tzn ni nini kwa US?

Acha Rais afanye mambo ya msingi ya kutafuta wawekezaji, mfanyabiashara gani wa Taifa kubwa atahangaika kukutana na Waziri kwenye Nchi za Afrika?

Dangote kwa miaka yote akija Dar huwa anakutana na Kikwete, Magufuli na Samia ,hakuna cha Waziri wala Balozi..

Hata Rais alipoenda Dubai na Egypt alikutana personally na wafanyabiashara wakubwa na matunda tuliyaona..

Nchi za kiafrika ni maskini na hazina sera za kutabirika so ni lazima wapate uhakika kutoka kwa Rais sio Waziri,,Bilionea hawezi msikiliza Waziri ..

Chapa kazi Rais wanaobeza wataona matokeo baadae kama tuu ambavyo kwa mwaka mmja amewashangaza Sukuma gang and the likes wenye akili ndogo za kujitutumua wakati ni useless..

View attachment 2197656

View attachment 2197657

View attachment 2197658

View attachment 2197659

View attachment 2197660

View attachment 2197669

View attachment 2197670
kwa hiyo alienda kuonana na huyo mmama mwenzake pia na baba yake Rihana?

we kwaakili yako unadhani hatamani kuonana na biden?,

ishu kwamba raisi yeyote yule hata awe kwenye taifa maskini huwa hapaswi kuwa cheap na ndiyo wako hivyo wizara husika ipo hiyo kazi angriachia wizara husika yeye angeendelea na mambo mengine ya kitaifa,hapa duniani hakuna raisi yeyote yule anayeenda nchi za watu na kukaa wiki nzima hayo mambo yalikuwa enzii hizo za wakina nyerere na mandela tena ilikuwa ni kwasababu za msingi za kupigania uhuru,

mama yako wa kambo hana maajabu,na matokeo ya Raisi asiyejielewa ndiyo hayo ,Maraisi wenzake wanathamani ndiyo maana hata biden kaamua kumpotezea mama kamuona hana maajabu mama yako haeshimiki hata mualiko kutoka kwa president mwenzie hajapewa

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom