dopchinski
JF-Expert Member
- Mar 11, 2021
- 3,387
- 3,683
Si kakwambia sio zake kwann unalazimisha ziwe zake? Kakwambia ka download mtandaoni kama wewe ulivyo download hiziView attachment 2193433
Si kakwambia sio zake kwann unalazimisha ziwe zake? Kakwambia ka download mtandaoni kama wewe ulivyo download hiziView attachment 2193433
Huyu jamaa the best 007 unapenda kupangia watu maisha kwani weweni Mungu?? Mbona maisha ya mtu inakuwa priority yako? Nani kakupangia unavyovaa ama unavokaa? Take a chill pill dawggKwa umri wako huu ungekuwa familia ambayo kdg inajiweza now upo kazini unaosha osha vidonda, tena ukizingatia elimu yenu ya sekondari mwisho form four yn ungekuwa mbali sn, but insonesha umeunga unga sn shule thus y bado upo shule.View attachment 2193044
So wewe ni teller stanbic bank ama?![]()
![]()
ndio mkuu hizi za wenyewe , Nimedownload Facebook
napenda Kudownload pesa online.![]()
![]()
View attachment 2193082
MView attachment 2193083
View attachment 2193085
View attachment 2193086
hehehehe...😆 hadi nimecheka yangu yote.!!😆 bydaway kumbe huyu dogo ni Bank Teller. mshahara 35k ya kenyaSo wewe ni teller stanbic bank ama?
Ndinda napenda photography skills zake though...noma sana, from a landscape photographer point of viewhehehehe...😆 hadi nimecheka yangu yote.!!😆 bydaway kumbe huyu dogo ni Bank Teller. mshahara 35k ya kenya
kabisaAhsante Sana brother sema thread ni ndefu Ila naona wabongo tuko vizuri tunawakilisha nchi yetu with one heart japo kuna baadhi wanageuza iwe full politics na hii ina Kera!
oi we chokoraa inabidi nikutumie tiketi uje kupiga bia kisha urudi kwenu kwenye mabanda ya mabati,Hiyo utoto wa kupiga picha Kwa choo achana nayo. Alafu usiongelee njaa juu Kwa kuangalia tu hizi picha zako ni njaa tupu![]()
anavaa vaa vitu vya kishamba vya 30,000Tshs mdosho
hiyo tai yake sijui aliiokota wapi,huyo mwamba ni local sana,Lusematic mnyamwezi wewe usijilinganishe naye hata kidogo, tofauti ni kama usiku na mchana. Ona wewe na tai lako kama mlokole alafu muangalie mwana, huoni aibu?View attachment 2193408View attachment 2193410
Mwambie Teargas watampa pressure na ile tai yake na foengo (four angle) zake . Hivyo viatu siku hizi wanavaa watu wanaohuburi neno la Mungu . Mwambie awe updated. Hila bongo kwa masihara unaweza kasilika kila muda . Ni utani wa ukweliUzi wa leo umekuwa interesting sana. Tumecheka kweli. Mchango umekuwa na ucheshi sana.




ishu siyo kufeli ,ishu hiyo ndiyo level yake huyo chokoraa hata umpige makeup,umuedit na kumnunulia pamba kali hapendezi yaani atadoda tu
na huyo jamaa ukimuweka makumbusho kisha ukamchongea na mkia wa bandia na meno marefu kidogo ukamuweka makumbusho pale nairobi kisha watalii wakija ukawaambia kuwa huyo ni zao la mwisho la dragon hawakatai bila shaka watapiga self nayeAtakua ameshaona Tai na Viatu vya kijana vinakuaje , sio yeye kaenda kutandua Tai kama jani la tumbaku sijui Nairobi Museum kafunga shingoni kitu cha Agrarian Revolution![]()
yaani rangi ya tai na kiatu ni unga na kinyesi hapangilii chochote,Yaani nguo na viatu ambavyo vilishapitwa na fashion bongo, kule kwao ndo vinaenda na wakati.
Ameshindwa kabisa kununua jeans zake kadhaa nyeusi au kaki na viatu vya ''kigentlemen'' (tatizo uchumi)
Kuna siku walikuwa wanapost humu maduka ya nguo zile brand za denim...kumbe hata hawazivai!![]()
Hakuna KUGUZA mshahara mwaka huu , ni mwendo wa Rupurupu tuu![]()




nilicheka sanakwani ilikua ni uongo.. ona.. sijawai guza mshahara hata.!! tingia hio day nikisema hivo. kisa kuwachana na mitungi, blanti na mikasi. na kujituma zaidi kazini. hivi nimeweza kukidhi mahitaji yangu pasipo na mushkilHakuna KUGUZA mshahara mwaka huu , ni mwendo wa Rupurupu tuu![]()
huyu ndo kani inspire zaidi tangia The best 007 atume hizi picha zake hapa aisee..ishu siyo kufeli ,ishu hiyo ndiyo level yake huyo chokoraa hata umpige makeup,umuedit na kumnunulia pamba kali hapendezi yaani atadoda tu
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Hata South Africa hawana barabara kama hii. Afrika nzima hakuna nchi yoyote ambayo ina barabara ambayo imepandwa creeping plants kwenye pillars. Anayebisha aweke evidence.