Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nipo mkuu nilikua sehemu ambayo simu ilikua restricted sababu ya usalama Ila nimerudi brother naona mnazidi kutuwakilisha vizuri
karibu sana mzee wa kazu,hapa tunamuenjoy teargas a.k.a bwana mapesa na jopo lake,

washikaji wengi wa kikenya humu ni watu poor wenye dhiki yakutosha,

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Kazi inaendelea 👇

Screenshot_20220419-201714.png


20220414_122051.jpg


20220414_122042.jpg


20220414_122046.jpg


20220414_122054.jpg
 
karibu sana mzee wa kazu,hapa tunamuenjoy teargas a.k.a bwana mapesa na jopo lake,

washikaji wengi wa kikenya humu ni watu poor wenye dhiki yakutosha,

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Ahsante Sana brother sema thread ni ndefu Ila naona wabongo tuko vizuri tunawakilisha nchi yetu with one heart japo kuna baadhi wanageuza iwe full politics na hii ina Kera!
 
Naona umekunja kuokolea huyo jamaa wako wa mifupa
Hii tabia yako ya kupenda kushindana na watu waliokuzidi kila kitu ndio inakufanya unakuwa fukara mpk leo, umri unaenda bado unasoma, tushaku note hata ukificha sura masikio, ndevu zilizokosa ushirikiano na midomo iliyokosa lishe tushaijua, ukikimbilia bongo ili utafute remittance tunakukimbiza ukafie kibera huko huko
JamiiForums500937414.jpg
 
Hii tabia yako ya kupenda kushindana na watu waliokuzidi kila kitu ndio inakufanya unakuwa fukara mpk leo, umri unaenda bado unasoma, tushaku note hata ukificha sura masikio, ndevu zilizokosa ushirikiano na midomo iliyokosa lishe tushaijua, ukikimbilia bongo ili utafute remittance tunakukimbiza ukafie kibera huko hukoView attachment 2193395
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hii tabia yako ya kupenda kushindana na watu waliokuzidi kila kitu ndio inakufanya unakuwa fukara mpk leo, umri unaenda bado unasoma, tushaku note hata ukificha sura masikio, ndevu zilizokosa ushirikiano na midomo iliyokosa lishe tushaijua, ukikimbilia bongo ili utafute remittance tunakukimbiza ukafie kibera huko hukoView attachment 2193395
Welcome back our dear watchman 😂😂🤣🤣. We were wondering penye imepotelea kumbe you are around😂😂🤣😂
 
Back
Top Bottom