Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa nimegundua kwanini akiona Mtanzania mwenye rangi nyeupe anasema sio Mtanzania.
Anachukia ngozi nyeupe kisa yeye ana ngozi mbaya, siyo kwasababu ni nyeusi no bali ana ngozi mbaya naturally. Ngozi ina mafuta kama nyoka
JamiiForums500937414.jpg
 
Sometimes we huaga unajitia hamnazo 🤣🤣🤣🤣🙄🙄🤣🙄🙄🙄
kwani nn ngumu, si apate kuandika "Ndinda, Tarehe ya leo na neno Jamiiforum.." baass.. hiyo tu ntaridhika kama mm. staki kujua historia ya hino jina 'Mapesa' maana mm bado mgeni huku kiasi. historia mm hapan taka jua..
 
kwani nn ngumu, si apate kuandika "Ndinda, Tarehe ya leo na neno Jamiiforum.." baass.. hiyo tu ntaridhika kama mm. staki kujua historia ya hino jina 'Mapesa' maana mm bado mgeni huku kiasi. historia mm hapana taka jua..
Si kakwambia sio zake kwann unalazimisha ziwe zake? Kakwambia ka download mtandaoni kama wewe ulivyo download hizi
Screenshot_20220119-171936.jpg
 
Hehehe this thread will make me see things. Sikujua wetu ni watchman 😂😂🤣😂

Kwa hizi picha mbili tofauti ni color ya nguo tu. Alafu hiyo Kwa shingo firimbi ama?😂😂

Screenshot_20220419-221304.jpg


images (72).jpeg
 
Back
Top Bottom