chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,125
Imepigwa maaraldite mpaka imekubali
Imepigwa maaraldite mpaka imekubali
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Aisee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Miaka 30 bado unasoma, ss pesa utatengeneza saa ngp na wanao watarithi nn au buti?![]()
Kwanza hiyo top yake ni ya watchman kamili🤣🤣😂🤣hadi amevaa hicho kiribon. 🤣 🤣 🤣
Mzee umepotea sana. Sijui ulienda kujificha wapi?🤣🤣🤣🤣🤣🤣Aisee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kashadelete hiyo picha, jamaa hayuko proud na Kazi yake😂😂🤣🤣hadi amevaa hicho kiribon. 🤣 🤣 🤣
Nipo kiongoz sema majukumu naona mnakula vitasa kama kawaida yenu🤣🤣🤣🤣🤣Mzee umepotea sana. Sijui ulienda kujificha wapi?
Huna hata aibu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hiyo lab ya mchongo mnashindwa kuweka hata furniture ya maana mnakalia viti vya pub! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jamaa hawazingatii safety hata kidogo!
Sasa unataka lab iwe na furnitures za nini? Lab is not a place for resting.Hiyo lab ya mchongo mnashindwa kuweka hata furniture ya maana mnakalia viti vya pub! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jamaa yako kachekeshaUzi wa leo umekuwa interesting sana. Tumecheka kweli. Mchango umekuwa na ucheshi sana.

Hii lab juakali Sana sometimes punguza ujuaji!Sasa unataka lab iwe na furnitures za nini? Lab is not a place for resting.
Hiyo picha ya chini ni ya Tanzania?🤣🤣😂😂 I want you to compare it with Tanzanian pictures🤣😂😂Hii lab juakali Sana sometimes punguza ujuaji!View attachment 2193285View attachment 2193286
Tony254....wakunya mafii kwao ni manukatoKuna professional anaekubali kufanya kazi mazingira ya namna hii? Hii lab ya chuo
View attachment 2192998