Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hehehe thread will make me see things. Sikujua wetu ni watchman [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23]

Kwa hizi picha mbili tofauti ni color ya nguo tu. Alafu hiyo Kwa shingo firimbi ama?[emoji23][emoji23]

View attachment 2193442

View attachment 2193443
Chunga hiyo picha dada yako asiione atakusumbua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Four Angle. Kwani socks hamjaziona ?
Dokta gani huyu hata socks mtihani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20220419-115409.jpg
 
Tumeongeza Exposure kidogo, shadow, Saturation , vibrance ili tuone Kiatu vizuri. [emoji1787]

View attachment 2193459
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
ha haa ,utakufa mzee oambana na maisha ili utoboe ,poor people kama wewe ndiyo huwa wanahitaji kunenepeana hovyo,
huu mwili unatunzwa mzee,unene ni asili yangu ila haukuwa na ishu kwangu nikauoiga chini,

pambana na hali yakoView attachment 2193379View attachment 2193381

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app

Atakua ameshaona Tai na Viatu vya kijana vinakuaje , sio yeye kaenda kutandua Tai kama jani la tumbaku sijui Nairobi Museum kafunga shingoni kitu cha Agrarian Revolution [emoji1787]
 
Tumeongeza Exposure kidogo, shadow, Saturation , vibrance ili tuone Kiatu vizuri. [emoji1787]

View attachment 2193459

Yaani nguo na viatu ambavyo vilishapitwa na fashion bongo, kule kwao ndo vinaenda na wakati.

Ameshindwa kabisa kununua jeans zake kadhaa nyeusi au kaki na viatu vya ''kigentlemen'' (tatizo uchumi)

Kuna siku walikuwa wanapost humu maduka ya nguo zile brand za denim...kumbe hata hawazivai! [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Atakua ameshaona Tai na Viatu vya kijana vinakuaje , sio yeye kaenda kutandua Tai kama jani la tumbaku sijui Nairobi Museum kafunga shingoni kitu cha Agrarian Revolution [emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Si kakwambia sio zake kwann unalazimisha ziwe zake? Kakwambia ka download mtandaoni kama wewe ulivyo download hizi [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2193433

Hakuna KUGUZA mshahara mwaka huu , ni mwendo wa Rupurupu tuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dah humu Kuna watu watata sana.. Kwa kuchimba chimba Sio mchezo.

Nashukuru sana huu uzi. Nimeshiba maarifa ya kutosha.
Humu kila kitu kinapatikana, elimu, maarifa na kejeli pia zimo, ukija na shombo watu tunakuosha vizuuriii shombo ikuishe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hakuna KUGUZA mshahara mwaka huu , ni mwendo wa Rupurupu tuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
ha haa ,utakufa mzee oambana na maisha ili utoboe ,poor people kama wewe ndiyo huwa wanahitaji kunenepeana hovyo,
huu mwili unatunzwa mzee,unene ni asili yangu ila haukuwa na ishu kwangu nikauoiga chini,

pambana na hali yakoView attachment 2193379View attachment 2193381

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app

Nadhani atakuwa ameona namma tai inavyotakiwa ifanane.

Ndio maana mademu za Kenya huwa wanashobokea Watanzania. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Humu kila kitu kinapatikana, elimu, maarifa na kejeli pia zimo, ukija na shombo watu tunakuosha vizuuriii shombo ikuishe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Humu Kuna wataalam sana asee... Watu wa Tehama wako vizuri mno humu. Kuna ishu ndogo ndogo na note humu Sio mchezo.

Hongereni Kwa battle, hakika bendera ya Bongo inapepea vyema.
 
Si kakwambia sio zake kwann unalazimisha ziwe zake? Kakwambia ka download mtandaoni kama wewe ulivyo download hizi [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2193433
hivi uli screenshot hii page mzee... hii nayo kali 😆😆. heb idelete kwenye hio database yako tafadhal..


ila hii siku nakumbuka nikiku prove wrong mzee. hadi ukaingia chini ya waba

Screenshot_20220419-232844_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom