Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Four Angle. Kwani socks hamjaziona ?
Dokta gani huyu hata socks mtihani
Screenshot_20220419-115409.jpg
 
ha haa ,utakufa mzee oambana na maisha ili utoboe ,poor people kama wewe ndiyo huwa wanahitaji kunenepeana hovyo,
huu mwili unatunzwa mzee,unene ni asili yangu ila haukuwa na ishu kwangu nikauoiga chini,

pambana na hali yakoView attachment 2193379View attachment 2193381

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app

Atakua ameshaona Tai na Viatu vya kijana vinakuaje , sio yeye kaenda kutandua Tai kama jani la tumbaku sijui Nairobi Museum kafunga shingoni kitu cha Agrarian Revolution
 
Tumeongeza Exposure kidogo, shadow, Saturation , vibrance ili tuone Kiatu vizuri.

View attachment 2193459

Yaani nguo na viatu ambavyo vilishapitwa na fashion bongo, kule kwao ndo vinaenda na wakati.

Ameshindwa kabisa kununua jeans zake kadhaa nyeusi au kaki na viatu vya ''kigentlemen'' (tatizo uchumi)

Kuna siku walikuwa wanapost humu maduka ya nguo zile brand za denim...kumbe hata hawazivai!
 
Back
Top Bottom