Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyo ni mtu wa lab. Sio nesi. Yeye anadeal na bacteria na virus. Huoni incubation machines pale? Anaweza kukutumia kifurushi cha kirusi cha ebola ukaanza kutokwa na damu sehemu nyeti. Usimchokoze wewe.
Don't expect that hawker to know the difference between a nurse and a laboratory technologist. Nurse yupi hutumia incubators and dry ovens? Kwanza hizo vitu mbili huezipata Kwa ward.
 
Yani mtu asomee University of London, London School of economics na Communist University of the Toilers of the East alafu ashindwe kusoma na kuandika? Mtu aandike vitabu 5 ashindwe kusoma na kuandika? Rais aliyekuwa the most educated at Indipendence of any African president ndiye unasema ni illiterate?
wakati yupo london unauhakika kuwa aliendakusoma,
au alikuwa mfanyakazi wa ndani house boy,


Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Siajabu lab ya chuo, hilo counter book la nini jamani. Kama ni kazini basi ni very low paid. Who uses counter book at work?
Lab everything has to be recorded and the counter book is to keep records. Saa zingine ulizeni swali before mjiaibishe. Next najua unataka kutoka excuse ya calculator 🤣🤣😂
 
Kuna professional anaekubali kufanya kazi mazingira ya namna hii? Hii lab ya chuo
1650371999400.png
 
Lab everything has to be recorded and the counter book is to keep records. Saa zingine ulizeni swali before mjiaibishe.
Na hizo computer ni za kazi gani? Na kama lazima uandike, karatasi za counter book ndio umeona bora kuliko zingine?
Kama ni kweli upo kazini nikushauri tu, nenda stationery ulizia something better than counter book. Itakusaidia hata kurecord dates n.k
 
Na hizo computer ni za kazi gani? Na kama lazima uandike, karatasi za counter book ndio umeona bora kuliko zingine?
Kama ni kweli upo kazini nikushauri tu, nenda stationery ulizia something better than counter book. Itakusaidia hata kurecord dates n.k
Those computers are attached to AAS (Atomic Absorbent Spectrophotometer), they are used for the analysis of metallic ions. For the counter book, that's where the records for your laboratory work is kept. Every analyst has his/her counter book and they are responsible for every writing inside it. Let's say I'm doing microbiological analysis of ten water samples and another ten food samples, how will I keep the records of these analysis if I don't write them down?
 
Lab nlizotumia high school zilikua na well implemented infrastructures kuliko hizi.
Lab yako ya high haikuwa na fume chamber. Lab yako ya high school haikuwa na Dessicator, lab yako ya high school haikuwa na analytical balance.
 
Those computers are attached to AAS (Atomic Absorbent Spectrophotometer), they are used for the analysis of metallic ions. For the counter book, that's where the records for your laboratory work is kept. Every analyst has his/her counter book and they are responsible for every writing inside it. Let's say I'm doing microbiology analysis of three ten water samples and another ten food samples, how will I keep the records of these analysis if I don't write them down?
Okay, Sina experience na kazi yako but uko vizuri kwelikweli, kubalance haya yote na kuchat jf.
 
Lab yako ya high haikuwa na fume chamber. Lab yako ya high school haikuwa na Dessicator, lab yako ya high school haikuwa na analytical balance.
Of course, ya chuo lazima iwe na vitu vingi kuliko high school. Nliwahipitia lab za Tumaini university KCMC ndio maana nkicheki hiyo yenu nao kama kibanda cha mkaa
 
Back
Top Bottom