Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Duh Yaani hata inasikitisha kiukweli, nashangaa hawa wapumbavu huwa wanajitapa nini sasa, em angalia nyumba zao

Kama unatoka kwenye nchi ya aina hii kwanini unadharau? Sio umaskini tu wa makazi na hali lakini umaskini wa chakula ni mbaya Sana na unadhalilisha

Ngoja waje kusifia Expressway ya millions of loans huku chakula hawana
wakunya ni maidiots, Tanzanians tupo hapa tukijisifia na miradi yetu wenyewe kwa manufaa yetu tuliojiamulia. wakunya wako hapa kusifu uwekezaji wa wageni au wakunya waliowachache kwa manufaa ya wachache. TANZANIA BADO TUTAKUWA JUU SANA. kENYA WANAYO NJIA NDEFU SANA KUYAFIKIA MAENDELEO YA UKWELI.
 
We taahira kweli, Uhuru na Kazi ni series ya Mwalimu Nyerere baada ya slogan ya Siasa ni Kazi

Ninyi Mivivu na neno kazi wapi na wapi? Mngekua mnakufa njaa?


WAKATI HUO NYANGAU WANATEGEMEA WAZUNGU WAWALETEE MAENDELEO HADI SASA NA NDIYO MAANA WAKUNYA KUFA NA NJAA SIYO JAMBO LA KUSHANGAZA MIONGONI MWAO
 
By the way [mention]Teargas [/mention] apart from JF do you have any other bussiness , yaani what do you do for living, maana kila nikichungulia you are always on JF 24/7
are you jobless ? Naweza kukupa kazi shambani kwangu.
Student huyo huoni hata alivyo fukara? Asubiri miaka 30 ijayo ndiyo apate internship zen baada ya miaka 5 ya internship huenda akapata ajira, na vile ajira hamna huko Kunyaland mbona kazi anayo. Miaka 35 bado anasoma
 
20220419_071846.jpg
20220419_071849.jpg
20220419_071852.jpg
20220419_071855.jpg
 
We taahira kweli, Uhuru na Kazi ni series ya Mwalimu Nyerere baada ya slogan ya Siasa ni Kazi

Ninyi Mivivu na neno kazi wapi na wapi? Mngekua mnakufa njaa?


Tatizo la wakunya ni kupenda mteremko na vya bure, uhuru na kazi ni slogani ya TANZANIA kabla na baada ya uhuru, wakunya awe kenyatta baba, kibaki ni watu wa kucopy na ku paste tu!
 

Attachments

Fanya japo ujiajiri usiwe mpumbavu wa kusubiri ajira za serikali pambana uachane na 2gb Ram phone, maisha yame badilika utakufa maskini.
There's a day nilipost picha yangu hapa mistakenly nikadelete, ungekuwa keen ungejua nafanya kazi gani.
 
Wacha kubishabisha vitu usivyovijua utazidi kulimbikiza ujinga, soma faida na hasara za "remittances"
Kwahiyo point yako kwamba ya mwanzo kwamba "remittance" ni capital inflow" ya nchi na kwamba hata benki kuu zinaweka "remittances" Kama "capital inflow" umeachana nayo Sasa hivi umegeukia kwengine sio?.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wewe ndio ulianza kwa kusema kwamba remittance haina manufaa yoyote kwa Uchumi wa Kenya. Mtu mjinga kabisa ambaye hajui manufaa ya remittance ndiye anayeweza kuongea hivyo. Nenda kawaulize watu wa Sri Lanka ambao wamekosa madawa hospitalini umuhimu wa dollars katika uchumi wao. Eti unakejeli Wakenya wanaofanya kazi Dubai?
 
There's ila day nilipost picha yangu hapa mistakenly nikadelete, ungekuwa keen ungekuwa nafanya kazi gani.
Ulivyo na mdomo mpana wewe uwe na kazi japo kama ya Tony alafu tusijue humu? Ungekuwa na kazi wala usingehangaika na mipesa ya freemasons na wala usingetumia a 2gb Ram infinix
 
Wewe ndio ulianza kwa kusema kwamba remittance haina manufaa yoyote kwa Uchumi wa Kenya. Mtu mjinga kabisa ambaye hajui manufaa ya remittance ndiye anayeweza kuongea hivyo. Nenda kawaulize watu wa Sri Lanka ambao wamekosa madawa hospitalini umuhimu wa dollars katika uchumi wao. Eti unakejeli Wakenya wanaofanya kazi Dubai?
Kwahiyo dollars ndani ya nchi zinaletwa na only remittance?
 
Kila siku nauliza hpa hayo mabus mnayotengeneza halafu mnapeleka wap kwasabab barabara yamejaa maisuzu chakavu tu.

Hay nionyeshe bus linalotoka kilifi kwenda Kwale

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
sawa tu na majani chai au cut flowers...... hizi mabasi mzuri pia tunavitengeneza kwa wingi na kuviexport mingi yao kushinda local consumption.. hehe.. kisa hatuna vast geographical land areas ka nyinyi
 
Kwahiyo dollars ndani ya nchi zinaletwa na only remittance?
Wapi nimesema dollars zinaletwa kupitia remittance pekee? Mimi ninachosisitiza ni kwamba remittance ni muhimu kwa nchi nyingi kwa sababu inaleta foreign currency wakati genius wa hili jukwaa joto la jiwe anabeza na kukejeli umuhimu wa remittance katika uchumi wa Kenya.
Hii hapa jana serikali ya Sri Lanka inaambia raia wake wanaoishi ulaya watume dollars nyumbani kwa haraka kwa maana serikali inaanguka na hawana dollars ya kulipa madeni, kununua madawa na mafuta ya diesel na petrol.
 
Wacha kubishabisha vitu usivyovijua utazidi kulimbikiza ujinga, soma faida na hasara za "remittances"
Kwahiyo point yako kwamba ya mwanzo kwamba "remittance" ni capital inflow" ya nchi na kwamba hata benki kuu zinaweka "remittances" Kama "capital inflow" umeachana nayo Sasa hivi umegeukia kwengine sio?.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Wajinga wanaopenda kuargue lakini ukiwapa vitu wasome hawataki.

Remittances inflow and private investment: a case study of South Asian economies via panel data analysis​

Zeeshan Khan
ORCID Icon ,
Fazli Rabbi
,
Manzoor Ahmad
ORCID Icon &
Yang Siqun
ORCID Icon
Pages 2723-2742 | Received 09 Jul 2018, Accepted 15 Jan 2019, Published online: 26 Aug 2019

In this article








Abstract
Formulae display:
MathJax Logo
?​

This study examines the association between remittances inflow and investment. The data of five major South Asian countries that receive a significant portion of remittances including India, Sri Lanka, Pakistan, Nepal, and Bangladesh are considered from 1990 to 2016. Pooled ordinary least square (OLS), the fixed effect within group estimator (FEWGE), fixed effect (FE) and random effect (RE) are used for the analysis of the data. Unit root tests were employed and then followed by a pooled mean group (PMG) analysis to analyse the long-run relationship between private investment and remittances while controlling for several other variables, such as real-interest rate, economic growth, and the interaction between remittances inflow and business freedom. We use the error correction mechanism (ECM) to find the short-run relationship among variables. Our findings reveal that private investment is positively affected by remittances inflow. Moreover, remittances flow with low business freedom opposes the positive association in the case of these sampled countries. We recommend channelising remittances and lower barriers to business freedom, which may pave the way for a conducive investment-friendly environment.

 
Back
Top Bottom